secret file
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 5,843
- 8,637
Hawa jamaa ni vituko.....Kwamba Bill gate, Musk na Bezos wamepitwa Utajiri na Rayvanny?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa jamaa ni vituko.....Kwamba Bill gate, Musk na Bezos wamepitwa Utajiri na Rayvanny?
🤣🤣🤣🤣Kwamba Bill gate, Musk na Bezos wamepitwa Utajiri na Rayvanny?
Umejuaje kua alikosea? Je figure sahihi ni ipi?Nimeisikiliza hiyo interview Salam alikosea tuu kusema numbers, ni kama sis wengine tuu tunapokua na mambo mengi kichwani unajikuta unachapia
Kama million 265 za kibongo tena inaweza kushuka maana hapo yeye kapiga constant kwamba kila stream ni $0.005 wakati average uwa ni $0.0038 per stream. Huenda alikosea alimaanuisha milion 230 za kibongo kwa hesabu hiyo zinaingia.Kwa iyo ni bei gani kaingiza
Nasikia sound za wanambeya kua mama yake alikataa kujengewa maana pesa za vanny za maagano.Kashindwa hata kumjengea mama yake kule Mbeya
Upo sahihi Sana, ndo Mana nawashanga watu wanaopiga kelele rayvanny anauza Sana digital, japo ni ni kweli lakini kiasi kikubwa kinaenda kwenye label ownerLabel zinawanyonya sana wasanii, nilikwua nasikiliza interview ya T-Pain akieleza jinsi label zinavyo wamiliki wasanii na wanashindwa kujiondoa kwenye mikataba waliyosaini nikashangaa. Yani wakiwekeza ela utailipa mara kumi, mfani wakiwekeza milioni mia utalipa bilion moja. Na kumbe hakuna ela ya maana unayochukua mpaka warudishe walichowekeza. Unakuta msanii wamewekeza dollar milion 4, ile ela inabidi alipe milion 40, basi inamchukua miaka kulipa hiyo pesa na hata akitaka kujichomoa hawezi.
Kasikilize vizuriUna mlisha maneno ,alisema audio ina stream 23m ambayo kwa 1mil stream sawa na dollar 10elfu. Kimahesabu tetema imeingiza dollar 230,000 ambayo kwa hela ya tz ni karibia mil 500.Hiyo bil 230 umesema ww.
Nimesikiliza interview yote tena mida hii hakutaja bil 230, umemlisha maneno. Alisema nyimbo ina stream 23mil na akasema kila 1mil stream ni dola elfu kumi. Akaishia hapo so kama ulipitia hesabu zile za kulima shamba tetema imeingiza dollar 230,000. HAKUSEMA USD B230, so hapo kuna mawili uliskiliza vibaya au uliikimbia hesabu darasa la saba.Kasikilize vizuri
Hii ndiyo ninaweza kuielewa at least.Kama million 265 za kibongo tena inaweza kushuka maana hapo yeye kapiga constant kwamba kila stream ni $0.005 wakati average uwa ni $0.0038 per stream. Huenda alikosea alimaanuisha milion 230 za kibongo kwa hesabu hiyo zinaingia.
It's OK kwani wanakuwa wamewekeza si tu pesa na muda bali mpaka kum brand msanii, hapo msanii kabla ya kulalamika ajiulize alikuwa kabla hajasainiwa na nini kilimfanya asi hustle peke yake yake mpaka atahitaji msaada wa label.Label zinawanyonya sana wasanii, nilikwua nasikiliza interview ya T-Pain akieleza jinsi label zinavyo wamiliki wasanii na wanashindwa kujiondoa kwenye mikataba waliyosaini nikashangaa. Yani wakiwekeza ela utailipa mara kumi, mfani wakiwekeza milioni mia utalipa bilion moja. Na kumbe hakuna ela ya maana unayochukua mpaka warudishe walichowekeza. Unakuta msanii wamewekeza dollar milion 4, ile ela inabidi alipe milion 40, basi inamchukua miaka kulipa hiyo pesa na hata akitaka kujichomoa hawezi.
Hpo sahihi, watu wavyo shaupalia as jf hawajawahi kukosea 😀😀Nimeisikiliza hiyo interview Salam alikosea tuu kusema numbers, ni kama sis wengine tuu tunapokua na mambo mengi kichwani unajikuta unachapia