Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
😂😂😂 Hii kamba hii kamba kwamba jamaa ana almost Tsh trillion 400+
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwani ana utajiri wa kiasi gani?Nasikia sound za wanambeya kua mama yake alikataa kujengewa maana pesa za vanny za maagano.
Mbwembwe tu hata utajiri haujulikanikwani ana utajiri wa kiasi gani?
Utajiri bila ya kuwa na fixed/tangible assets huo sio utajiriMbwembwe tu hata utajiri haujulikani
Kweli kabisa yeye naona analingia na current asset ndo asset zingine zipo wasafi hajui any time anakua Kama ndugu yake harmonize pale WCBUtajiri bila ya kuwa na fixed/tangible assets huo sio utajiri
Kaamua tu kuwa muongo huenda anadhani watu wote hawana uelewaYes, ndo maana nikasema kwa streams milion 23. salam kajichanganya itakuwa alitaka kumaanisha milion 230 za kitanzania
Wangefunga ofisi?! Nadhani hujazisoma vizuri hizo takwimu, ambazo kimsingi zinakaribiana na ukweli!! Views 1M unalipwa around $4000 Billgate anaanzaje kufunga ofisi wakati ni pesa ndogo sana hiyo?!Ingekua mambo mepesi hivi kina bill gates wangefunga ofisi zao na kuingia studio kurekodi nyimbo.
Chief nachomaanisha kama views zingeingiza pesa nyingi hivyo kwa rayvan kama alivyosema huyo meneja basi maisha yangekua mepesi hadi matajiri wa ulimwengu wangeacha kazi zao na wao waimbe watafute pesa kwenye views.Wangefunga ofisi? Nadhani hujazisoma vizuri hizo takwimu, ambazo kimsingi zinakaribiana na ukweli!! Views 1M unalipwa around $4000 Billgate anaanzaje kufunga ofisi wakati ni pesa ndogo sana hiyo?
Usisahau, ni nyimbo chache sana zinazofikisha Views 1 Billion ambapo ndipo utalipwa $ 4 Million!!