mwanamabadiliko
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 938
- 1,540
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Kwamba Bill gate, Musk na Bezos wamepitwa Utajiri na Rayvanny?
Kashindwa hata kumjengea mama yake kule MbeyaMmh, ingekuwa kwel Rayvanny angekuwa na Jet
Dola bilioni 230?Kashindwa hata kumjengea mama yake kule Mbeya
Angekuwa anaikooesha serikaliDola bilioni 230??
Anaweza kuchangia hata bajeti ya nchiDola bilioni 230??
Ndipo hapo tulipofikia kama taifaKwamba Bill gate, Musk na Bezos wamepitwa Utajiri na Rayvanny?