Sallam SK: Tetema ya Rayvanny imeingiza Dola milioni 230

Siyo kwamba wanangalia ni nchi gani watu wamestream sana?
 
Mleta uzi nafikiri hujasikiliza vizuri ile interview. Kasema tetema ina streams mill 23 spotify ambapo kwa streams mill 1 spotify wanalipa dollah kama elfu 5 kasoro, hapo aliposema ni dollar elfu 10 ndio kachanganya mambo.
Propagandist...kapotosha makusudi ndio zao kuleta taharuki😂
 
Naona huyu jamaa kaathirika na uuzaji madawa ya kulevya....nafikiri akili zake kaziacha Marekani pale alipokamatwa na madawa ya kulevya.
 
Mama yake huyu huyu inayedaiwa anakataa msaada kutoka kwa manaye 'eti' vyanzo vya kipato cha mwanaye haviendani na maandiko ya kwenye biblia.
Narudia, 'eti' mama yake ndiyo msimamo wake.
Madawa....Salim ni gwiji la uuzaji madawa ya kulevya na ndiyo maana Mama yake hataki hizo hela za kutesa watoto wa watu. Muulizeni Salim hivi kwanini alikamatwa Marekani na kapigwa ban kuingia kule. Sasa anatumia wanamuziki kusafirisha mizigo yake, Bongo fleva haina soko duniani ni hapa nyumbani tu.....mpuuzi huyu kijana anafikiri sisi ni mazezeta wa CCM?
 
Mungu akubariki kwa "kuwaamsha" wasanii wa bongo ili wanufaike na jasho lao.
Umeandika ukweli 94%. Kongole sana.
 
Huyu jamaa anajua dola milion 230 kweli? Album ya thriller ya Michael Jackson in two years after being released ndio iliingiza 134 million dollars sasa huyu paka wa bongo ndio alete 230 labda ya mabox.

Waache kujitamba uongo haiwasaidii kitu maana huyo dogo kaanza kusema na ule mgahawa ni wake kwani akisema ukweli shida ipo wapi? Ndio maana wakija kupata matatizo watu wanaanza kuwabeza na kutisaodia sababu wanaona kama alichezea hela kumbe hata hakuwa nazo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…