Salome Binti aliyehatarisha maisha yangu, baada ya miaka 8 nimekutana naye tena

Pole kwa yaliyokusibu.

Kila la kheri kwenye kusherehekea sikukuu za krismasi na mwaka mpya.

Nashukuru Mama wa Haja,

Kila la kheri nawe,

Nilitaka kujisahau kujipendekeza kwako kama nilivyojipendekeza kwa Salome nikakumbuka kilichonikuta,

Ninyi wanawake wazuri tena wamama wa haja sio lelemama,
Sio ukikaa sio ukiinama, utamu nje nje siye kutazama

Shenzi wanawake wote wazuri
 
Mmh kuna watu wakatili sana apa duniani lakn ukiwaona kwa nje utazan ni watu wema
 


Aaahahhaahhahaaaaa loooh

Umesomeka baba la baba.
 
naomba no za salome nijilipue na mimi naona ww ulishindwa
 
Hizi story ni vizuri mtu ukaandaa yoteeee mpaka mwisho then ukifika hapa ni kutiririka tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…