Salome Binti aliyehatarisha maisha yangu, baada ya miaka 8 nimekutana naye tena

Duh aiseeee kama ni kweli najiuliza baba salome hajifikirii nae ni binadamu atakayefukiwa chini futi za kutosha daah
Hiyo babake Salome sio huyu mzee naniliu?![emoji854]
 
Kwenye apartment za washua Kumbe kuna Hadi (karungu yeye).
eti wakati mnatoroka mkanyonyana denda aaah asee
 
Kwenye apartment za washua Kumbe kuna Hadi (karungu yeye).
eti wakati mnatoroka mkanyonyana denda aaah asee
Hatari sana. Kama star kwenye movie, walipofika tu maeneo ya kushukia jamaa wakaja kwa kasi. Alitoroshwa kupitia handaki na ni usiku ila walinzi hawakuwaona wala gari iliyokuwa inawasubiri nje.
 
Mimi demu akiwa mzuri,huwa sinaga haraka nae,ingawaje mwil husisimuka Mara nying huwa nasubir ajlengeshe mwenyew
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…