Salome Binti aliyehatarisha maisha yangu, baada ya miaka 8 nimekutana naye tena

Nimechekaa 😀😀 nyani wamekuwapo tangu uumbwaji wa dunia.

Wajuzi wa magari watuhabarishe hilo toleo la mwaka gani.
Mwaka 2012 tako la nyani zilikuwepo tz kweli?
Bora umemstukia,jamaa kama tukio lilimkuta kweli basi chumvi ni nyingi sana asilimia 90.
 
Nimeishia kwenye uzuri kama malaika. Sijasoma zaidi.
Kwa taarifa yako hakuna malaika mwanamke wa mwanaume. Malaika wote hawana jinsi. Ukimuita mkeo malaika ni kama umemtukana
 
Uzi wenyewe nimeandika machozi yakinitoka, keyboard yote tepetepe kwa jasho.

Kasie mama wa Haja
Mama wa shughuli
Kasie mzinga wa asali
Sijapenda.hapo mwisho unapomsifia kasie acha hizo naenda kukusemea kwa mzee shoni
 
[emoji2531][emoji2531][emoji2531]
 
"Dad, let me speak at once with you!"(Baba, naomba niongea na wewe mara moja) =Ka-telephone(Kassim), don't smoke my river, please(usivute mto wangu, tafadhali)! Swahili to English translation. Objection! Dad, may I talk to you? It's urgent! Kassim, stop pulling my pillow, please!
 
Hivi huyo Salome alikuwa bikra?

Asante kwa Chai.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…