Kaina
JF-Expert Member
- Jul 3, 2015
- 380
- 326
Wadau,
Ni salon ya standard ya kati. Ipo mahali pazuri kwenye movements za watu. Pia imeshafanya kazi kwa miaka miwili hivyo ina wateja na imeshazoeleka. Mwenyewe ni dogo langu lilikuwa linasoma chuo hapo KIU limemaliza linarudi mkoani.
Ipo Gongo la mboto. Kwa aliye interested anichek PM. Bei inazungumzika.
Ni salon ya standard ya kati. Ipo mahali pazuri kwenye movements za watu. Pia imeshafanya kazi kwa miaka miwili hivyo ina wateja na imeshazoeleka. Mwenyewe ni dogo langu lilikuwa linasoma chuo hapo KIU limemaliza linarudi mkoani.
Ipo Gongo la mboto. Kwa aliye interested anichek PM. Bei inazungumzika.