Tanzania na watanzania wa leo si wa kuambiwa sera, kama ni sera CCM ina sera gani mpya tangu 2000, sera ya viwanda imeishia wapi.Naona ni kama wanajisahau na wanaendeshwa na mambo ya ccm badala wangefocuss kwenye sera zao.Tunaomba tujue wao watafanya nini ili tuwachague na sio ccm wamekosea nini? Badilikeni mnatuboa aisee! Wasomi wazima mmekuwaje tena mnakuwa na Gubu hivyo! Gubu gubu kama mama mwenye mimba duh
Je wewe unao ushahidi kuwa hana ushahidi!? Au unaropoka tu?Huna ushahidi unaropoka?
S
Sijaona kama nimekubishia kitu kwani mkapa aliandika kitabu mwisho mwaka gani mana mimi nazungumzia 2015 kuja 2020..
XxnWewew kama unayajua mambo ya kuanzia 2015 mpaka 2020, tueleze mikataba ya kununua ndege, uwanja wa ndege Chattle, bwawa la umeme Stiegler, SGR kuna kitu gani. Maadili ya kazi yanasema kumpa mkataba wa kujenga uwanja wa ndege mtu mliyeoa nyumba moja? Mapenzi mengine hayana maana. Tutetee sera na matendo. Tuachane na kutetea watu kama vile tunatetea timu za mpira. Timu ya mpira ndio utetetewa hata pale inapofungwa.
,-,Mjb-,?,"-,‐," TV Xxn
Yaani wewe ndio umenishtua Mkuu. Smart imejituma tu yenyewe. Nisamehewe, sikukusudia [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]Sijui unamaanisha nini. Nadhani ni kuishiwa hoja.
Na wewe una ushahidi kuwa jamaa ana ropoka kuwa huyo jamaa hana ushahidi?Je wewe unao ushahidi kuwa hana ushahidi!? Au unaropoka tu?
Unafurahi mikataba ya ujenzi wakipewa WACHINA ...acha wivu Boss cha kuzingatia ni gharama ni stahiki ... je imejengwa kwa kiwango? Mambo mengine ni umbea tu ...Wewe kama unayajua mambo ya kuanzia 2015 mpaka 2020, tueleze mikataba ya kununua ndege, uwanja wa ndege Chattle, bwawa la umeme Stiegler, SGR kuna kitu gani. Maadili ya kazi yanasemaje kuhusu kumpa mkataba wa kujenga uwanja wa ndege mtu mliyeoa naye nyumba moja? Mapenzi mengine hayana maana. Tutetee sera na matendo. Tuachane na kutetea watu kama vile tunatetea timu za mpira. Timu ya mpira ndio utetetewa hata pale inapofungwa.
Fanya uchunguzi na lete hewani tuwawajibishe viongozi wa taasisi hizo. Sheria zipo wazi na ulofa wa akili zao utayaponza matumbo yao.“Tumepata taarifa kwamba zipo Taasisi za Umma zinaratibu na kugharamia Kampeni za Mgombea wa CCM Ndugu Magufuli, tunakamilisha uchunguzi na ushahidi tutaweka hadharani”. @salummwalimtz Viwanja vya Mnadani Igunga,Tabora.
Hapana! Kinachotafutwa ni kora za kuwawezesha kupata ruzuku, basi!Ndio watapata za kutosha kabisa usihofu kwa hilo