Uchaguzi 2020 Salum Mwalimu: Tumepata taarifa zipo Taasisi za Umma zinagharamia Kampeni za Mgombea wa CCM

Uchaguzi 2020 Salum Mwalimu: Tumepata taarifa zipo Taasisi za Umma zinagharamia Kampeni za Mgombea wa CCM

Kawadanganye wanasaccos wa chadema ambao uwezo wao wa kufikiri ulishapungua sana!!
[/QUOThuwezi linganisha akili za wanachadema na wana ccmavi kamwe huko ni kutukosea heshima kwa kweli, mtu akiwa ccm namchukulia ka zombie vile
 
Dalili ya chadema kuishiwa!
Wacha kuhoroja matako wewe! Unaona hizo taasisi unafanya sahihi hivyo? Hayo ni baadhi ya matendo yasiyotakiwa kufanywa n serikali wakati wa uchaguzi mkuu! Mwaka huu tunawachinja vila kuwaelekeza Kibra punda nyie!
 
Kwahiyo unaongozwa na zombe? Basi wewe utakuwa zaidi ya zombe!!
 
“Tumepata taarifa kwamba zipo Taasisi za Umma zinaratibu na kugharamia Kampeni za Mgombea wa CCM Ndugu Magufuli, tunakamilisha uchunguzi na ushahidi tutaweka hadharani”. @salummwalimtz Viwanja vya Mnadani Igunga,Tabora.
Hakuna kitu kibaya kutafanya upelezi huku umesha mwambia mhusika nini kinafuta

Hivi haona anaharibubwanao mpa tarifa mhimubwatafahamika
 
“Tumepata taarifa kwamba zipo Taasisi za Umma zinaratibu na kugharamia Kampeni za Mgombea wa CCM Ndugu Magufuli, tunakamilisha uchunguzi na ushahidi tutaweka hadharani”. @salummwalimtz Viwanja vya Mnadani Igunga,Tabora.

Aisee ndio maana mapesa yanamwagwa hovyo hovyo wakati watu hawana chakula!
 
Aisee...! Kumbe GENTAMYCINE hakukosea jana....umekuwa 'very rational' siku hizi. Na uko 'objective' na 'focused' kidogo ingawa bado kuna 'vikona kona' kwenye post zako. Hongera sana Mkuu.

Siku zote niko hivi hivi, sema maoni yangu ya leo hayajakuumiza kama siku nyingine.
 
Jamani mkumbusheni Mwalimu.
Magufuli is the President ot URT. To date of sworn in of new term of 5 years.
 
Mdharau mwiba huota tende. Tujue kuwa hawa watu wanatafuta kila njia kuonesha kuwa wanaonewa hivyo kama ni kweli, Tunaloooo
 
Bashiru alishasema itakuwa ajabu Sana chama tawala kisiotumia fursa ya dola kujiweka madarakani.
Siyo Bashiru tu Nyerer ba mkapa wote wamesema
Lakini hata Lissu anajua.
 
Chama cha majambazi. "Mwaka 1995 CCM iliiba milioni 100 za serikali na kuzitumia kwa kampeni" - BW Mkapa.
Ccm inapokea bil 1.3 kama ruzuku kutoka serikalini kwa mwezi kwa miaka mitano? Ni zaidi ya bil 60 hapa hujaweka mchango hata wa sh mia ya mwanachama wala mapato ya ndani ... kiufupi hawana sababu ya kuchota hela wanayo ya kutosha kampeni za miezi mitatu
 
CHADEMA wanafanya vyote, wanatoa sera pamoja na kuuanika upuuzi wa CCM

Naona ni kama wanajisahau na wanaendeshwa na mambo ya ccm badala wangefocuss kwenye sera zao.Tunaomba tujue wao watafanya nini ili tuwachague na sio ccm wamekosea nini? Badilikeni mnatuboa aisee! Wasomi wazima mmekuwaje tena mnakuwa na Gubu hivyo! Gubu gubu kama mama mwenye mimba duh
 
Sasa na hiyo ni sera ya chama au? Chadema wamekuwaje jamani?waswahili wanasema ukikosa hela ukiitwa bar kila mwanaume mwenzako unamwita kiongozi ili akununulie bia ha ha chadema kuweni wanaume leteni sera bambav
Sera ni kilutowapelekea maendeleo wanainchi watakaochagua chama pinzani
 
Back
Top Bottom