Ahjumma
JF-Expert Member
- May 19, 2020
- 460
- 382
Poyoyo huyo hana hata hashuo akilala anaiwaza tu chademaAcha kupayuka ,Soma Taraifa ilivyo weka ushabiki pembeni na jitahidi kuelewa kilicho kusudiwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poyoyo huyo hana hata hashuo akilala anaiwaza tu chademaAcha kupayuka ,Soma Taraifa ilivyo weka ushabiki pembeni na jitahidi kuelewa kilicho kusudiwa.
Simba muoga simba gani huyo au labda wakuchora.Uliishawahi kuona panya anamtisha simba? Ahahahahahahah!
Inaonekana Mbowe huko nyuma aliwafanya vibaya ,kutwa kuchwa kumtaja tu hata asipo husika.
[/QUOTanatamani angekuwa mme wake nadhani
Kawadanganye wanasaccos wa chadema ambao uwezo wao wa kufikiri ulishapungua sana!!
[/QUOThuwezi linganisha akili za wanachadema na wana ccmavi kamwe huko ni kutukosea heshima kwa kweli, mtu akiwa ccm namchukulia ka zombie vile
Wacha kuhoroja matako wewe! Unaona hizo taasisi unafanya sahihi hivyo? Hayo ni baadhi ya matendo yasiyotakiwa kufanywa n serikali wakati wa uchaguzi mkuu! Mwaka huu tunawachinja vila kuwaelekeza Kibra punda nyie!Dalili ya chadema kuishiwa!
Huyu dogo bado amekaa kichadema chadema..
Uliwahi kuikemea serekali ya CCM inaayo rundika raia huko magereza kwa tuhuma tu?Huna ushahidi unaropoka? Pumbavu!!!
Hakuna kitu kibaya kutafanya upelezi huku umesha mwambia mhusika nini kinafuta“Tumepata taarifa kwamba zipo Taasisi za Umma zinaratibu na kugharamia Kampeni za Mgombea wa CCM Ndugu Magufuli, tunakamilisha uchunguzi na ushahidi tutaweka hadharani”. @salummwalimtz Viwanja vya Mnadani Igunga,Tabora.
Huyu dogo bado amekaa kichadema chadema..
CCM huwa hatuongei hivyo kabisa..
“Tumepata taarifa kwamba zipo Taasisi za Umma zinaratibu na kugharamia Kampeni za Mgombea wa CCM Ndugu Magufuli, tunakamilisha uchunguzi na ushahidi tutaweka hadharani”. @salummwalimtz Viwanja vya Mnadani Igunga,Tabora.
Aisee...! Kumbe GENTAMYCINE hakukosea jana....umekuwa 'very rational' siku hizi. Na uko 'objective' na 'focused' kidogo ingawa bado kuna 'vikona kona' kwenye post zako. Hongera sana Mkuu.
Siyo Bashiru tu Nyerer ba mkapa wote wamesemaBashiru alishasema itakuwa ajabu Sana chama tawala kisiotumia fursa ya dola kujiweka madarakani.
Taasisi zote zina majina kwanini asizitaje?Hiyo iko wazi
Ccm inapokea bil 1.3 kama ruzuku kutoka serikalini kwa mwezi kwa miaka mitano? Ni zaidi ya bil 60 hapa hujaweka mchango hata wa sh mia ya mwanachama wala mapato ya ndani ... kiufupi hawana sababu ya kuchota hela wanayo ya kutosha kampeni za miezi mitatuChama cha majambazi. "Mwaka 1995 CCM iliiba milioni 100 za serikali na kuzitumia kwa kampeni" - BW Mkapa.
CHADEMA wanafanya vyote, wanatoa sera pamoja na kuuanika upuuzi wa CCM
Sera ni kilutowapelekea maendeleo wanainchi watakaochagua chama pinzaniSasa na hiyo ni sera ya chama au? Chadema wamekuwaje jamani?waswahili wanasema ukikosa hela ukiitwa bar kila mwanaume mwenzako unamwita kiongozi ili akununulie bia ha ha chadema kuweni wanaume leteni sera bambav
Ushahidi upo pimbi wewe. STL nyingi sasa zinasomeka T 123 CCMHuna ushahidi unaropoka? Pumbavu!!!