jonas amos
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 3,645
- 4,438
Itaanza kwa bibi zako mpapa wanao kwanzaLaana ya Mungu ikutandike wewe na kizazi chako chote , Amina
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itaanza kwa bibi zako mpapa wanao kwanzaLaana ya Mungu ikutandike wewe na kizazi chako chote , Amina
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa taarifa yako namba moja ni wizara ya Ujenzi...hutaki jiue
Dalili ya chadema kuishiwa!
Ha ha haa! Wale wa mgombea urais wa Chama cha Mbowe!Akina Nani uwe unafafanua tukuelewe.
Aisee...! Kumbe GENTAMYCINE hakukosea jana....umekuwa 'very rational' siku hizi. Na uko 'objective' na 'focused' kidogo ingawa bado kuna 'vikona kona' kwenye post zako. Hongera sana Mkuu.Ni vizuri kama ataweka ushahidi,
Hata Kama hukufurahishwa na ujumbe wake, usiandike maneno magumu kiasi hicho.Laana ya Mungu ikutandike wewe na kizazi chako chote , Amina
Umeiona barua ya Congress.Lissu anawapoteza sana babadhi UA watanzania ,kampeni zikiisha Lissu anakimbia zake kwa mabeberu wake ,huyu hana pa kwenda eti naye kamwamini lissu kuwa mwaka huu lazima wachukue dola
CHADEMA wanapoteza muda wao kwa kuamini kuamini kuwa wanaweza itoa CCM madarakani,hizi ni ndoto za mchana kweupe,
Emdeleeni kuwaita mabeberu kuna siku watawanyosha na wameshaanza kutengeneza njia.Tuwakatae wasaliti na vibaraka wa mabeberu Chadema!
Hawawezi tuko makini sana! Walimtuma msaliti Lissu tukagundua tukaepa sasa wameshaingia target tunasubiri kupress trigger tu!!Emdeleeni kuwaita mabeberu kuna siku watawanyosha na wameshaanza kutengeneza njia.
Ndio watapata za kutosha kabisa usihofu kwa hiloYaani hadi sasa wanaamini watapata kura za kutosha kutawala nchi!
We shenzi kabisa kama huyo ni pumbavuAlikuwa ana haraka gani ya KUROPOKA kabla hajamaliza kukusanya ushahidi? Kwani angesubiri hadi akapata ushahidi wote ndio aseme angepukiwa nini? Pumbavu!
Resolution 1120 kama ya Iraq umeiona lkn, wanaanzaga hivyo hivyo.Hawawezi tuko makini sana! Walimtuma msaliti Lissu tukagundua tukaepa sasa wameshaingia target tunasubiri kupress trigger tu!!
Sasa mnabisha nini tuweke ushahidi?Dalili ya chadema kuishiwa!
Sasa mnabisha nini tuweke ushahidi?Huna ushahidi unaropoka? Pumbavu!!!
Hilo povu ntapelekea watoto wakafulie! Ahahahahahahah!We shenzi kabisa kama huyo ni pumbavu
Hopeless ni wewe na ccmavi wenzioKama bado hana ushahidi wowote si angenyamaza, hopeless kabisa.
Sasa mnabisha nini tuweke ushahidi?Maskini huyu naye amenyoosha kidole tumuone alipo! Mbowe ana akili sana yupo zake na mhasibu wa chama na afisa ugavi wanarekebisha mahesabu ya matumizi ya kampeni!
Uliishawahi kuona panya anamtisha simba? Ahahahahahahah!Sasa mnabisha nini tuweke ushahidi?