Uchaguzi 2020 Salum Mwalimu: Tumepata taarifa zipo Taasisi za Umma zinagharamia Kampeni za Mgombea wa CCM

Uchaguzi 2020 Salum Mwalimu: Tumepata taarifa zipo Taasisi za Umma zinagharamia Kampeni za Mgombea wa CCM

Bilion 60 hizo ni kms kama 40 tu za barabara! Sema kingine! Haya mil 300 ruzuku za chadema kila mwezi mbona hata ofisi hamna bambav! Bambav! Hela huwa mnapeleka wapi mchwa nyie
Ccm inapokea bil 1.3 kama ruzuku kutoka serikalini kwa mwezi kwa miaka mitano? Ni zaidi ya bil 60 hapa hujaweka mchango hata wa sh mia ya mwanachama wala mapato ya ndani ... kiufupi hawana sababu ya kuchota hela wanayo ya kutosha kampeni za miezi mitatu
 
....hayajakuumiza kama siku nyingine....
Ha ha ha aaa! Hapa JF ni sehemu yangu murua ya kujifunza. Hivyo, kamwe hapa JF hapatakuwa sehemu ya kuniumiza asilani ! Tuendelee na mjadala mkuu.
 
“Tumepata taarifa kwamba zipo Taasisi za Umma zinaratibu na kugharamia Kampeni za Mgombea wa CCM Ndugu Magufuli, tunakamilisha uchunguzi na ushahidi tutaweka hadharani”. @salummwalimtz Viwanja vya Mnadani Igunga,Tabora.

Shikeni adabu yenu nyie na muache kuzua uongo. Mnachoandaa wala hamfanikiwi. Ndio maana mabeberu wakuu wanatutolea azimio. Mtashindwa tu wala hakuna atakayeweza kuwaweka madarakani kwa hila au kuleta vurugu kwa sababu ya umoja wa watanzania nyuma ya chama chao cha mapinduzi.
 
Una tofauti gani na huyo unayemuita mropokaji? Amekwambia akikamilisha kukusanya ushahidi ataleta. Kabla hajakamilisha UMESHAROPOKA kuwa ameropoka!!!!!!!
Hahahahaha......hata kichaa huwa hajijui kama yeye ni kichaa!!
Kama alijuo hajakamilisha uchunguzi kwa nini amekurupuka?
HANA SERA HUYO MWANDUSHI WA HABARI AMEZOWEA VIBAHASHA TU SERA HAKUNA
 
Kikinuka Zenj kitanuka ..... Mzee Hamad kasema mpo wa matembele bamia na mchicha wa bondeni?
 
Hayo maneno yamendikwa na Mkapa katika kitabu chake. Kama wewe ni mbishi, nenda Lupaso ukabishane naye. Ushabiki mwingine ni upumbavu. Sasa wewe ni nani mpaka ubishane na Mkapa kuhusu CCM?
Ccm inapokea bil 1.3 kama ruzuku kutoka serikalini kwa mwezi kwa miaka mitano? Ni zaidi ya bil 60 hapa hujaweka mchango hata wa sh mia ya mwanachama wala mapato ya ndani ... kiufupi hawana sababu ya kuchota hela wanayo ya kutosha kampeni za miezi mitatu
 
Ccm inapokea bil 1.3 kama ruzuku kutoka serikalini kwa mwezi kwa miaka mitano? Ni zaidi ya bil 60 hapa hujaweka mchango hata wa sh mia ya mwanachama wala mapato ya ndani ... kiufupi hawana sababu ya kuchota hela wanayo ya kutosha kampeni za miezi mitatu
Tukumbuke tu Marehemu Mzee Mkapa kwenye kitabu chake alisema 2005 walichota mamilioni BoT (EPA).
Hela ya ESCROW hatujui ki ukweli imeishia wapi? Tunajua tu ilichotwa na kuna viashiria kuna kiasi kilielekezwa ikulu (mwaka wa uchaguzi).
Tunajua pia kuna mashirika hela zao hazikaguliwi na manunuzi mengine wanajua wakubwa tu ni sirikali.
Tuombe tu ya Mwalimu yasiwe kweli, lakini kwa historia ya chama chetu tawala hakuna lisilo wezekana.
 
sio taasisi za umma tu,
wafanyabiashar wanachangishw sana.
Anza kuulizia wilaya ya chattle.
 
Anaratibu deni la kudumu....
Atakula ruzuku for the next 7 years kwa mkopo hewa[emoji3][emoji3]
Maskini huyu naye amenyoosha kidole tumuone alipo! Mbowe ana akili sana yupo zake na mhasibu wa chama na afisa ugavi wanarekebisha mahesabu ya matumizi ya kampeni!
 
S
Hayo maneno yamendikwa na Mkapa katika kitabu chake. Kama wewe ni mbishi, nenda Lupaso ukabishane naye. Ushabiki mwingine ni upumbavu. Sasa wewe ni nani mpaka ubishane na Mkapa kuhusu CCM?
Sijaona kama nimekubishia kitu kwani mkapa aliandika kitabu mwisho mwaka gani mana mimi nazungumzia 2015 kuja 2020..
 
Tukumbuke tu Marehemu Mzee Mkapa kwenye kitabu chake alisema 2005 walichota mamilioni BoT (EPA).
Hela ya ESCROW hatujui ki ukweli imeishia wapi? Tunajua tu ilichotwa na kuna viashiria kuna kiasi kilielekezwa ikulu (mwaka wa uchaguzi).
Tunajua pia kuna mashirika hela zao hazikaguliwi na manunuzi mengine wanajua wakubwa tu ni sirikali.
Tuombe tu ya Mwalimu yasiwe kweli, lakini kwa historia ya chama chetu tawala hakuna lisilo wezekana.
Habari za mkapa hazizungumzii mwaka 2015 -2020 ... hata hivyo si pingi mana uhujumu upo hata CHADEMA ruzuku inatumiwa ndivyo sivyo na mwenyekiti na genge lake ... in fact “ The beautiful ones are not yet born “
 
Kuwa na makamu raisi wa namna hii tanzania itakuwa ni vituko sijui walikosa mwingine katika uteuzi
 
Hilo mbona liko wazi,Mara zote chama tawala wanatumia fedha za umma kuendesha kampeni zake,hakuna fair ground kwa wagombea wa upinzani,
 
Back
Top Bottom