johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Naibu Katibu mkuu wa CHADEMA Salumu Mwalimu amewataka Wanachama wa CHADEMA wenye Uwezo, Nia na Karama ya Uongozi asisite kuchukua Fomu na kugombea Nafasi yoyote.
Mwalimu alikuwa anaendesha Seminar ya Chama huko Pemba.
Kumekucha!
Mwalimu alikuwa anaendesha Seminar ya Chama huko Pemba.
Kumekucha!