Salumu mbonde ajitia kitanzi simba

Mikia hapo mmeingia chaka,mlivyokuwa mnasikia jina la mbonde linatajwa tajwa jangwani mkajua ni mbonde huyu,sisi tunabeba ile mbavu nene stamili mbonde striker ya ukweli
Wachezaji waliotoka mtibwa wakafia yeboyebo Baanuzi,Javu,Dante mzee wa kujifunga, Kado,

Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
 
Asingeweza kusajiliwa Kwa Mabingwa wa kihistoria wa Tanzania...

Tuliona uwezo wake, tukaamua kubeba Andrew Vincent.
Ni kweli mkuu ndio maana Andrew Vicent anamuweka Benchi huyu jamaa timu ya taifa,hawezi kuanza mbele ya Dante

Sent from my SM-G928C using JamiiForums mobile app
 
Mkuu.

Naona unapata shida kutofautisha "Uwezo" na "Ngekewa"....


Tafuta Kamusi ya TUKI karibu yako hapo ili uongezepo maarifa.[emoji23]
Ni kweli mkuu na ngekewa huwa inatokea zaidi ya mara mbili,mechi mbiki zote

Sent from my SM-G928C using JamiiForums mobile app
 
Wachezaji waliotoka mtibwa wakafia yeboyebo Baanuzi,Javu,Dante mzee wa kujifunga, Kado,

Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
Taja waluotoka Simba wakafia Yanga ..[emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…