Kyawanjubu
JF-Expert Member
- May 13, 2017
- 2,452
- 2,197
Wachezaji waliotoka mtibwa wakafia yeboyebo Baanuzi,Javu,Dante mzee wa kujifunga, Kado,Mikia hapo mmeingia chaka,mlivyokuwa mnasikia jina la mbonde linatajwa tajwa jangwani mkajua ni mbonde huyu,sisi tunabeba ile mbavu nene stamili mbonde striker ya ukweli
Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app