Uchaguzi 2020 Salumu Mwalimu: Biashara zote za Serikali kubinafsishwa

Uchaguzi 2020 Salumu Mwalimu: Biashara zote za Serikali kubinafsishwa

jingalao

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
36,197
Reaction score
29,717
Mwandishi wa Gazeti la Mwananchi amemnukuu Mgombea Mwenza wa Kiti cha Urais Chadema akieleza sera ya Chama chao kuwa ni kubinafsisha biashara zote ili ziendeshwe na sekta binafsi. Amesema Serikali itabaki na jukumu la kutunga Sera tu.

My Take:
Nadhani upo umuhimu wa wataalamu kuwasaidia vyama vya siasa na wagombea mambo muhimu na yaliyotafitiwa ya kuyaongelea kwenye kampeni.
 
Mwandishi wa Gazeti la Mwananchi amemnukuu Mgombea Mwenza wa Kiti cha Urais Chadema akieleza sera ya Chama chao kuwa ni kubinafsisha biashara zote ili ziendeshwe na sekta binafsi.
Amesema Serikali itabaki na jukumu la kutunga Sera tu.

My Take:
Nadhani upo umuhimu wa wataalamu kuwasaidia vyama vya siasa na wagombea mambo muhimu na yaliyotafitiwa ya kuyaongelea kwenye kampeni.
Ukiwa na sera nzuri mashirika yataendeshwa kwa ufanisi mkubwa sana! Na hapo kwenye sera ndipo serikali ya CCM imefeli vibaya
 
Hatuwezi kufanya majaribio kwa nchi nzima. Watanzania ni waelewa sana!
====
Kwamba Tanesco itabinafsishwa, TTCL, ATCL, TRL, nakadhalika....! Vyote watapewa " wakwepuaji" wa chama cha Mbowe,Chadema! Maajabu hayeshi!
Umekurupuka mzee!
 
Hatuwezi kufanya majaribio kwa nchi nzima. Watanzania ni waelewa sana!
====
Kwamba Tanesco itabinafsishwa, TTCL, ATCL, TRL, nakadhalika....! Vyote watapewa " wakwepuaji" wa chama cha Mbowe,Chadema! Maajabu hayeshi!
Unaikumbuka PSRC chini ya Mkapa ilifanya nini? Je unawajua NET SOLUTION sijui unaijua Simu 2000. TRL Tanzania hakuna kitu kama hicho.
 
1. MAGUFULI ALISEMA ANATAKA MATAJIRI WAISHI KAMA MASHETANI.

2MAGUFULI ALISEMA AKIWA RAIS WA TANZANIA WATANZANIA TUTALIMIA MENO.

Utakuwaje kiongozi wa Malaika kama unataka matajiri waishi kama mashetani.
 
Ukiwa na sera nzuri mashirika yataendeshwa kwa ufanisi mkubwa sana! Na hapo kwenye sera ndipo serikali ya CCM imefeli vibaya
Umesahau kuwa Ubinafsishaji ulishawahi kufanyika??
 
Unaikumbuka PSRC chini ya Mkapa ilifanya nini? Je unawajua NET SOLUTION sijui unaijua Simu 2000. TRL Tanzania hakuna kitu kama hicho.
Mkapa alikuwa CCM au Chadema??? Sera za Mkapa ndo za Chadema kwani???

Mbona CCM mnakuwa vilaza hivyo???? Embu niambie ni biashara gani ya Serikali inayojiendesha kwa faida na ufanisi???!
 
Mwandishi wa Gazeti la Mwananchi amemnukuu Mgombea Mwenza wa Kiti cha Urais Chadema akieleza sera ya Chama chao kuwa ni kubinafsisha biashara zote ili ziendeshwe na sekta binafsi.
Amesema Serikali itabaki na jukumu la kutunga Sera tu.

My Take:
Nadhani upo umuhimu wa wataalamu kuwasaidia vyama vya siasa na wagombea mambo muhimu na yaliyotafitiwa ya kuyaongelea kwenye kampeni.
Kwa utumbo huu bado kuna mtu anakaa na kupigia debe wapewe nchi
 
Umesahau kuwa Ubinafsishaji ulishawahi kufanyika??
Sera zilikuwa mbovu, aidha Magufuli kataifisha kwa sera mbovu kabisa kabisa. Lipo shirika moja amelichukua kimabavu ila ni mwaka sasa kalitelekeza. Nyie hamuwezi kuelewa kwa undani ila sisi tuliopo huku juu tunajua ushenzi mwingi sana aliofanya Magufuli.
 
1. MAGUFULI ALISEMA ANATAKA MATAJIRI WAISHI KAMA MASHETANI.

2MAGUFULI ALISEMA AKIWA RAIS WA TANZANIA WATANZANIA TUTALIMIA MENO.

Utakuwaje kiongozi wa Malaika kama unataka matajiri waishi kama mashetani.
Lete clip
 
Wanasiasa huwa mara nyingi wanaongea vitu katika mtazamo wa kisiasa na sio katika uhalisia Kuna vitu wanavozungumza havina uhalisia kabisa
 
Sera zilikuwa mbovu, aidha Magufuli kataifisha kwa sera mbovu kabisa kabisa. Lipo shirika moja amelichukua kimabavu ila ni mwaka sasa kalitelekeza. Nyie hamuwezi kuelewa kwa undani ila sisi tuliopo huku juu tunajua ushenzi mwingi sana aliofanya Magufuli.
Wewe upo juu sisi tupo juu katikati na chini.
Hivi TTCL ilikuwa hoi kwa sababu gani na imerudi kuwa hai kwa sababu gani?
 
Mkapa alikuwa CCM au Chadema??? Sera za Mkapa ndo za Chadema kwani???

Mbona CCM mnakuwa vilaza hivyo???? Embu niambie ni biashara gani ya Serikali inayojiendesha kwa faida na ufanisi???!
Kama hujuw lud darasan kwanza
 
Mkapa alikuwa CCM au Chadema??? Sera za Mkapa ndo za Chadema kwani???

Mbona CCM mnakuwa vilaza hivyo???? Embu niambie ni biashara gani ya Serikali inayojiendesha kwa faida na ufanisi???!
Muulize ambaye nimemuuliza mimi anayesema CDM haiwezi kuwa na sera nzuri.
 
Back
Top Bottom