Kuna huduma ambazo kwa asili ya unyeti wake ni vyema zitolewe na serikali kama usafiri wa treni na ndege, uzalishaji wa umeme, mifuko ya hifadhi ya jamii na usambazaji wa maji.
Ila kwa Tanzania hizo huduma kuwa mikononi mwa serikali imekuwa ni tatizo kubwa sana na mashirika husika yamekuwa yakigeuzwa kuwa sehemu ya watu kujitafutia utajiri.
Inatakiwa utaratibu mzuri uandaliwe utakaowezesha mashirika yanayotoa huduma hizo kufanya kazi bila kuhujumiwa na wakora kwani huduma hizo zinapotolewa na sekta binafsi gharama hua hazishikiki.
Lakini kwa hii sera ya Magufuli ya kutaka sasa serikali ifanye hata biashara ya kuuza mafuta, uwakala wa mizigo na ukandarasi ni ovyo kabisa na tunaipinga kwa nguvu zote kwani ktk dunia ya sasa serikali haipaswi kufanya biashara bali kuratibu na ukusanyaji kodi tu.
Ila kwa Tanzania hizo huduma kuwa mikononi mwa serikali imekuwa ni tatizo kubwa sana na mashirika husika yamekuwa yakigeuzwa kuwa sehemu ya watu kujitafutia utajiri.
Inatakiwa utaratibu mzuri uandaliwe utakaowezesha mashirika yanayotoa huduma hizo kufanya kazi bila kuhujumiwa na wakora kwani huduma hizo zinapotolewa na sekta binafsi gharama hua hazishikiki.
Lakini kwa hii sera ya Magufuli ya kutaka sasa serikali ifanye hata biashara ya kuuza mafuta, uwakala wa mizigo na ukandarasi ni ovyo kabisa na tunaipinga kwa nguvu zote kwani ktk dunia ya sasa serikali haipaswi kufanya biashara bali kuratibu na ukusanyaji kodi tu.