Uchaguzi 2020 Salumu Mwalimu: Biashara zote za Serikali kubinafsishwa

Uchaguzi 2020 Salumu Mwalimu: Biashara zote za Serikali kubinafsishwa

Ukiwa na sera nzuri mashirika yataendeshwa kwa ufanisi mkubwa sana! Na hapo kwenye sera ndipo serikali ya CCM imefeli vibaya
Chadema wamefanikiwa sana kwa hilo. Hata JF imenoga.
 
Mbona unakimbia swali we mtu??? Nimekwambia niambie biashara inayofanywa na serikali inayojiendesha kwa faida???
Kama huna majibu sema tu Lord denning the Master sina majibu au kama haya maji ni kina kirefu sema tu!! Kuleta tantalila wala haikusaidii hasa watu wanazidi tu kukuona kuwa huna majibu na unajibaraguza tu😂
Ahahahahahahahh!
 
Mwandishi wa Gazeti la Mwananchi amemnukuu Mgombea Mwenza wa Kiti cha Urais Chadema akieleza sera ya Chama chao kuwa ni kubinafsisha biashara zote ili ziendeshwe na sekta binafsi. Amesema Serikali itabaki na jukumu la kutunga Sera tu.

My Take:
Nadhani upo umuhimu wa wataalamu kuwasaidia vyama vya siasa na wagombea mambo muhimu na yaliyotafitiwa ya kuyaongelea kwenye kampeni.
Wewe kweli ni zuzu lao ,hivi unajua maana ya liberal economy ambayo inaendeshwa na nchi zote zilizoendelea duniani?freedom of market?
 
Wewe kweli ni zuzu lao ,hivi unajua maana ya liberal economy ambayo inaendeshwa na nchi zote zilizoendelea duniani?freedom of market?
Anza kuisoma katiba kwanza.Ielewe Tanzania kwanza na kujua misingi ya kikatiba ambayo ndio dira ya namna ipi ya uchumi Tanzania inatakiwa kuifanya.Tusiwe kama kasuku kwa kuiga kila alisemalo mwingine bali yafaa sisi tuseme ili wengine waige.
 
Hivi wewe hiyo 1954 ni mwaka uliozaliwa? Probably.
BBC siyo chombo cha serikali. No non profit organization ambalo lipo financed na British Governmen. it is independent haliingiliwi. Ndiyo lilianzishwa na serikali.
Shirika la Taifa la Reli huko ubelgiji linamilikiwa na nani?
labda tuanzie hapo
 
Yaani Serikali itunge sera tu....halafu sekta binafsi ijinafasi....are you really serious on this??Au nyie ndio mlishauri?
Jinga
you are old school!
NASA sasa hivi imeshaanza kuwaachia private sector kwenye kurusha space shuttle. Elon Musk. Space X ni privately owned company ya Elon.
Private sector can bring immense wealth to a country if you allow freedom, creativity and innovation.

Angalia vijana wetu wangapi wanapoteza muda wao. talented. Kwa sababu tu ya uchoyo wa CCM na makada wake. instead of planning for development you are planning to unleash 38 bullets to kill intelligent man like Tundu Lisu. Shame on you!
 
Anza kuisoma katiba kwanza.Ielewe Tanzania kwanza na kujua misingi ya kikatiba ambayo ndio dira ya namna ipi ya uchumi Tanzania inatakiwa kuifanya.Tusiwe kama kasuku kwa kuiga kila alisemalo mwingine bali yafaa sisi tuseme ili wengine waige.
Kwani katiba imeshuka kutoka kwa Mungu?acha basi kuji expose uzuzu wako,Kama dira inasema hivyo mbona Kila Rais wa CCM anapoingia madarakani anakua na political ideology yake?liberalization (Mwinyi), privatisation (mkapa),liberalization(kikwete),socialism (Magufuli) au tukakuingize darasani
 
1. MAGUFULI ALISEMA ANATAKA MATAJIRI WAISHI KAMA MASHETANI.

2MAGUFULI ALISEMA AKIWA RAIS WA TANZANIA WATANZANIA TUTALIMIA MENO.

Utakuwaje kiongozi wa Malaika kama unataka matajiri waishi kama mashetani.
Wewe unaonekana maisha yako ni duni unahitaji mkombozi.
 
1. MAGUFULI ALISEMA ANATAKA MATAJIRI WAISHI KAMA MASHETANI.

2MAGUFULI ALISEMA AKIWA RAIS WA TANZANIA WATANZANIA TUTALIMIA MENO.

Utakuwaje kiongozi wa Malaika kama unataka matajiri waishi kama mashetani.
mmoja wa viongozi wa malaika alisema " tajiri kuuona ufalme wa Mungu ni sawa na ngamia kupenya kwenye tundu la sindano " . Mtolee hukumu na huyo.
 
Shirika la Taifa la Reli huko ubelgiji linamilikiwa na nani?
labda tuanzie hapo
Jinga is always Jinga,
Private sector as any business is driven by three bottom lines. One of them is profits. Very important. Private company au public ipo lazima wa maximize profits for shareholders. Kuna exceptional ya miradi ambayo private sector wanasita ku- invest kwa sababu ya “economic of scale”, na investment return period. Lakini kuna huduma ambazo ni muhimu, hapo serikali ndipo inabidi iingilie. No way out. Kujenga hospitali kijiji cha iFakara au Moshi mjini, wapi utajenga kupata faida? Obviousl Moshi. Kama wewe ni profit oriented. Moshi walipaji wapo. Kijiji cha Ifakara nako hospitali lazima iwep, hapo serikali ndipo inapoingia.
 
Jinga is always Jinga,
Private sector as any business is driven by three bottom lines. One of them is profits. Very important. Private company au public ipo lazima wa maximize profits for shareholders. Kuna exceptional ya miradi ambayo private sector wanasita ku- invest kwa sababu ya “economic of scale”, na investment return period. Lakini kuna huduma ambazo ni muhimu, hapo serikali ndipo inabidi iingilie. No way out. Kujenga hospitali kijiji cha iFakara au Moshi mjini, wapi utajenga kupata faida? Obviousl Moshi. Kama wewe ni profit oriented. Moshi walipaji wapo. Kijiji cha Ifakara nako hospitali lazima iwep, hapo serikali ndipo inapoingia.
Sasa rudi kwenye kauli ya Mwalimu halafu ndio ueelewe mjadala vyema.
 
Anza kuisoma katiba kwanza.Ielewe Tanzania kwanza na kujua misingi ya kikatiba ambayo ndio dira ya namna ipi ya uchumi Tanzania inatakiwa kuifanya.Tusiwe kama kasuku kwa kuiga kila alisemalo mwingine bali yafaa sisi tuseme ili wengine waige.
kila unapoandika. unafanana sana na zile hotuba za yule UVCCM chairman Kheri, sasa hapo Katiba na Market forces kuna uhusiano gani? Yaani umwajiri Manager halafu kwanza asome katiba?
 
Kama kweli kayasema hayo, anafikiri hii itaongeza kura kiasi gani kwa chama wakati huu?
Ni mambo kama haya ndio yatakayowanyima kura CHADEMA, kwa sababu inaonekana kama hawajui wanataka kufanya nini.
 
Mwandishi wa Gazeti la Mwananchi amemnukuu Mgombea Mwenza wa Kiti cha Urais Chadema akieleza sera ya Chama chao kuwa ni kubinafsisha biashara zote ili ziendeshwe na sekta binafsi. Amesema Serikali itabaki na jukumu la kutunga Sera tu.

My Take:
Nadhani upo umuhimu wa wataalamu kuwasaidia vyama vya siasa na wagombea mambo muhimu na yaliyotafitiwa ya kuyaongelea kwenye kampeni.
Hatuwezi kufanya majaribio kwa nchi nzima. Watanzania ni waelewa sana!
====
Kwamba Tanesco itabinafsishwa, TTCL, ATCL, TRC, nakadhalika....! Vyote watapewa " wakwepuaji" wa chama cha Mbowe,Chadema! Maajabu hayeshi!
Kama hamjaelewa ulizeni mtaeleweshwa.. Upotoshaji hautawafikisha popote
 
Back
Top Bottom