Uchaguzi 2020 Salumu Mwalimu: Biashara zote za Serikali kubinafsishwa

Uchaguzi 2020 Salumu Mwalimu: Biashara zote za Serikali kubinafsishwa

Hapo ndio mashirika yote nyeti yataangukia mikononi mwa mabeberu, na kutuendesha yanavyotaka!

Tutapiga magoti, watatuendesha, na watapata kila wanachokitaka, maana wao ndio watakuwa wameshikilia mpini!.

Wanaowashangilia hawa wanasiasa nakuwaona ndio wakombozi wao, binafsi huwa nawaona, somewhere kumkichwa hakuko vizuri!.





Yaani nimeogopa Sana kumbe wanataka kutugawa na kutuuza Kama mbuzi aisee tusikubali nchi yetu kuuzwa
 
Ujinga ni mzigo mkubwa. Kama mleta uzi anaamini katika alichokiandika ni mjinga pia. Nimemsikia mjinga mwingine, John Magufuli, akitumia ujinga kufafanua kuhusu Sera ya majimbo. Eti dhana ya muundo wa majimbo wa utawala wa nchi ni kuligawa taifa. Haelewi kuwa nchi hii tayari imegawanywa katika mafungu ta utawala - mikoa, wilaya, kata, vijiji, mitaa na vitongoji na bado taifa 'halijagawanyika' Kwa namna anavyo-contextualize kugawanyika.

Hatutaki nchi iongozwe na mediocre na sycophants wao bila wananchi kujiamulia vipaumbele vyao vya maendeleo. Watanzania wanaweza kuamua kuwa mikoa ndio iwe majimbo ya utawala. Ikiwa hivyo, kila mkoa utaongozwa na Gavana aliyechaguliwa na wananchi wenyewe. Utakuwa na Bunge lake. Kila mkoa utakuwa na Serikali za mitaa zake, kila mkoa utakuwa na Mahakama zake. Kila mkoa utakuwa na vyanzo vya mapato yake, na Serikali Kuu itakuwa ikiwajibika kukusanya kodi kutoka vyanzo vyaka na kisha kugawa mapato hayo kwa kila jimbo kwa kuzingatia itakavyokuwa imetekelezwa kwenye Katiba ya nchi. Serikali kuu itakuwa na majukumu machache ya kuratibu sera za utawala wa nchi, siyo petty issues. Sasa ukiona mjinga mmoja anazungumza kuwa muundo wa utawala wa majimbo una lengo la kutuibia madini unamsikitikia.

Sasa ulisikia mjinga mwingine akisema kuwa ubinafsishaji-wizi wa PSRC/Mkapa ndio ubinafsishaji anaousema Mwalimu unasikitika sana. Ubinafsishaji haufanyiki kupitia njia moja tu ya Serikali kuuza (outright sell) mashirika ya umma. Kuna mikakati na njia mbadala nyingi iwapo wataalam watapewa fursa kusaidia ku-design njia bora ya kutekeleza Sera husika.
 
Yaani nimeogopa Sana kumbe wanataka kutugawa na kutuuza Kama mbuzi aisee tusikubali nchi yetu kuuzwa
Mimi nilishaeleza humu, na kutaadharisha kuwa huyu Lissu anaweza kuwa anatarajia kutuuza watanzania kwa mafungu kwa hao wanyonyaji na kupe watembeao!! Bahati mbaya sana Lisuu kamnywesha ujinga hata Kijana mdogo wa Kitanzania Salum Mwalimu. Lissu anavuruga mustakabali wa vijana nchi katika muktadha huu. Salum Mwalimu asamehewe, maana anayonafasi ya kujirekebisha, na anaonekana ni muungwana kwa kumtazama!

Watanzania, shime, tarehe 28/10/2020 sote kwa pamoja twende tumshughulikie kisawa sawa Lissu kwa kumnyima kura tena kwa dhati ya moyo.
 
Mkapa alikuwa CCM au Chadema??? Sera za Mkapa ndo za Chadema kwani???

Mbona CCM mnakuwa vilaza hivyo???? Embu niambie ni biashara gani ya Serikali inayojiendesha kwa faida na ufanisi???!
Atcl na Ttcl mpaka wanatoa gawio serikalini
 
Mkapa alikuwa CCM au Chadema??? Sera za Mkapa ndo za Chadema kwani???

Mbona CCM mnakuwa vilaza hivyo???? Embu niambie ni biashara gani ya Serikali inayojiendesha kwa faida na ufanisi???!
Sasa huoni CCM wamejirekebisha baada ya ubinafsishaji holela, hata Mkapa alikiri idea ilikua nzuri ila bahati mbaya haikusaidia wazawa kama alivyotarajia
 
Wewe upo juu sisi tupo juu katikati na chini.
Hivi TTCL ilikuwa hoi kwa sababu gani na imerudi kuwa hai kwa sababu gani?
Sidhani TTCL iko vzr hapana bado utendaji wake hauna toka Pamoja promo nyingi lkn bado .sera ya ubinafsishaji siyo mbaya mfano mzuri ni tbl,sigara nk lkn wakati serikali inaziendesha hali ya kifedha ilikuwa hoi.

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Ujinga ni mzigo mkubwa. Kama mleta uzi anaamini katika alichokiandika ni mjinga pia. Nimemsikia mjinga mwingine, John Magufuli, akitumia ujinga kufafanua kuhusu Sera ya majimbo. Eti dhana ya muundo wa majimbo wa utawala wa nchi ni kuligawa taifa. Haelewi kuwa nchi hii tayari imegawanywa katika mafungu ta utawala - mikoa, wilaya, kata, vijiji, mitaa na vitongoji na bado taifa 'halijagawanyika' Kwa namna anavyo-contextualize kugawanyika.

Hatutaki nchi iongozwe na mediocre na sycophants wao bila wananchi kujiamulia vipaumbele vyao vya maendeleo. Watanzania wanaweza kuamua kuwa mikoa ndio iwe majimbo ya utawala. Ikiwa hivyo, kila mkoa utaongozwa na Havana waliyechaguliwa na wananchi wenyewe. Utakuwa na Bunge lake. Utakuwa na Serikali za mitaa zake, Utakuwa na Mahakama zake. Utakuwa na vyanzo vya mapato yake, Na Serikali Kuu itakuwa ikiwajibika kukusanya Kodi kutoka vyanzo vyaka na kisha kugawa mapato hayo Kwa kila Jimbo kama itakavyokuwa imetekelezwa kwenye Katiba ya nchi. Serikali kuu itabaki na majukumu machache ya kuratibu Sera za utawala wa nchi, siyo petty issues. Sasa ukiona mjinga mmoja akizungumza kuwa muundo wautawala wa kutuibia madini

Sasa ulisikia mjinga mwingine akisema kuwa ubinafsishaji-wizi wa PSRC/Mkapa ndio ubinafsishaji anaousema Mwalimu unasikitika sana. Ubinafsishaji hutumii njia moja tu ya Serikali kuuza (outright sell) mashirika ya umma. Kuna mikakati na njia mbadala nyingi iwapo wataalam watapewa fursa kusaidia design ya njia bora ya kutekeleza Sera husika.
Yaani Serikali itunge sera tu....halafu sekta binafsi ijinafasi....are you really serious on this??Au nyie ndio mlishauri?
 
Mtarajiwa makamu wa rais wa Tanzania😀😀. Huyu pimbi hajui kuna mashirika na taasisi strategic always yanapaswa kuwa chini ya usimamizi wa serikali. Salum bana haishi vituko
 
Umeelewa swali langu??? Acha tantalila jibu swali
Unazungumzia faida gani? Direct Profit or Indirect Profit? Kwa kukusaidia, Serikali yoyote makini anajikita zaidi kwenye Indirect Profit. Anyway, sijui kama unajua maana yake lakini.
 
Unazungumzia faida gani? Direct Profit or Indirect Profit? Kwa kukusaidia, Serikali yoyote makini anajikita zaidi kwenye Indirect Profit. Anyway, sijui kama unajua maana yake lakini.
Nimekusaidia unipe majibu General!! Be it direct or indirect, niambie, biashara gani ya serikali inayojiendesha kwa faida??
 
Ahahahahahahaha! Kama hujui maana ya Direct Profit na Indirect Profit in developmental context, ulitaka nikujibu au nikufundishe?
Mbona unakimbia swali we mtu??? Nimekwambia niambie biashara inayofanywa na serikali inayojiendesha kwa faida???
Kama huna majibu sema tu Lord denning the Master sina majibu au kama haya maji ni kina kirefu sema tu!! Kuleta tantalila wala haikusaidii hasa watu wanazidi tu kukuona kuwa huna majibu na unajibaraguza tu😂
 
Mbona unakimbia swali we mtu???
N

n




b
inayofanywa na serikali inayojiendesha kwa faida???
Kama huna majibu sema tu Lord denning the Master sina majibu au kama haya maji ni kina kirefu sema tu!! Kuleta tantalila wala haikusaidii hasa watu wanazidi tu kukuona kuwa huna majibu na unajibaraguza tu😂


















HATUTAKI KUUZWA KAMA MNAVYOTAKA
 
Hatuwezi kufanya majaribio kwa nchi nzima. Watanzania ni waelewa sana!
====
Kwamba Tanesco itabinafsishwa, TTCL, ATCL, TRC, nakadhalika....! Vyote watapewa " wakwepuaji" wa chama cha Mbowe,Chadema! Maajabu hayeshi!
We unatakaje?
 
Nadhani upo umuhimu wa wataalamu kuwasaidia vyama vya siasa na wagombea mambo muhimu na yaliyotafitiwa ya kuyaongelea kwenye kampeni
huyo mwalimu amekua ni mgombea mweza ili kutimiza matakwa ya katibu,hakuna kitu hapo
 
Back
Top Bottom