Uchaguzi 2020 Salumu Mwalimu: Biashara zote za Serikali kubinafsishwa

Uchaguzi 2020 Salumu Mwalimu: Biashara zote za Serikali kubinafsishwa

Ukiwa na sera nzuri mashirika yataendeshwa kwa ufanisi mkubwa sana! Na hapo kwenye sera ndipo serikali ya CCM imefeli vibaya


chadema inashindwa hata kuendesha Ofisi yake halafu unaongelea kuendesha nchi? Mbowe ni lini mara ya mwisho alifika Ofisini Mtaa wa Ufipa na kufanya kazi? Ukienda sasa hvi utakuata Ofisi yake na secretary kila kitu kikifanya kazi au ana ofisi nyigine binfasi mjini?
 
Mwandishi wa Gazeti la Mwananchi amemnukuu Mgombea Mwenza wa Kiti cha Urais Chadema akieleza sera ya Chama chao kuwa ni kubinafsisha biashara zote ili ziendeshwe na sekta binafsi.
Amesema Serikali itabaki na jukumu la kutunga Sera tu.

My Take:
Nadhani upo umuhimu wa wataalamu kuwasaidia vyama vya siasa na wagombea mambo muhimu na yaliyotafitiwa ya kuyaongelea kwenye kampeni.
What is wrong with this? Jingalao dunia nzima sasa hivi ni private sector. Marekani serikali haina kampuni.
you are bloody communists
 
chadema inashindwa hata kuendesha Ofisi yake halafu unaongelea kuendesha nchi? Mbowe ni lini mara ya mwisho alifika Ofisini Mtaa wa Ufipa na kufanya kazi? Ukienda sasa hvi utakuata Ofisi yake na secretary kila kitu ikifanya kazi au ana ofisi nyigine binfasi mjini?
Naamini kuwa CCM ikiwa chama cha upinzani basi ndani ya mwaka tu itakuwa kama NCCR na CUF maana kumejaa mamluki na wachumia tumbo isivyo kawaida.
 
Mwandishi wa Gazeti la Mwananchi amemnukuu Mgombea Mwenza wa Kiti cha Urais Chadema akieleza sera ya Chama chao kuwa ni kubinafsisha biashara zote ili ziendeshwe na sekta binafsi.
Amesema Serikali itabaki na jukumu la kutunga Sera tu.

My Take:
Nadhani upo umuhimu wa wataalamu kuwasaidia vyama vya siasa na wagombea mambo muhimu na yaliyotafitiwa ya kuyaongelea kwenye kampeni.
sasa... wakifanya exactly kama CCM nini maana ya kuwa chama mbadala??
 
Mwandishi wa Gazeti la Mwananchi amemnukuu Mgombea Mwenza wa Kiti cha Urais Chadema akieleza sera ya Chama chao kuwa ni kubinafsisha biashara zote ili ziendeshwe na sekta binafsi.
Amesema Serikali itabaki na jukumu la kutunga Sera tu.

My Take:
Nadhani upo umuhimu wa wataalamu kuwasaidia vyama vya siasa na wagombea mambo muhimu na yaliyotafitiwa ya kuyaongelea kwenye kampeni.
Yaani tanesco wapewe net solutions waliofungulia bwawa la mtera Hadi likakauka, mitambo ya kinyerezi apewe kaka ruge na bohora, wapuuzi hawa
 
Naamini kuwa CCM ikiwa chama cha upinzani basi ndani ya mwaka tu itakuwa kama NCCR na CUF maana kumejaa mamluki na wachumia tumbo isivyo kawaida.


Je, Mbowe anaamka kila siku asubuhi kuja kazini kwenye hii Ofisi?

1601704118086.png
 
Hatuwezi kufanya majaribio kwa nchi nzima. Watanzania ni waelewa sana!
====
Kwamba Tanesco itabinafsishwa, TTCL, ATCL, TRC, nakadhalika....! Vyote watapewa " wakwepuaji" wa chama cha Mbowe,Chadema! Maajabu hayeshi!
Kumbe CCM ni wakommunist wakubwa
 
Huyu salum mwalimu alivyokuwa kahama alisema mgodi wa buzwagi watapewa wanakijiji wa mwendakulima, hili jamaa Ni tumbo moja na shetani sio kea uwongo huo
 
Wewe upo juu sisi tupo juu katikati na chini.
Hivi TTCL ilikuwa hoi kwa sababu gani na imerudi kuwa hai kwa sababu gani?
Hapo ndiyo maana unaona kwa nini kuna tofauti kati ya mikoa ya zama zile [Kilimanjaro, Bukoba, Iringa ] Vs [Mtwara, Tabora, Dodoma]
 
Yaani tanesco wapewe net solutions waliofungulia bwawa la mtera Hadi likakauka, mitambo ya kinyerezi apewe kaka ruge na bohora, wapuuzi hawa
Net solutions ilikuwa kampuni iliyoletwa na CCM . Chadema hawatafanya huo ujinga. Wao wataleta kampuni competent zenye uwezo na nitajitahidi uhakika
 
Huku Kuna baadhi ya watu ni vilaza hawajui kitu au wameloa na ushabiki wa vyama vyao hata hawajui Kama benki zote zinazo fanya vizuri hapa Tanzania zina ubia na private partnership Kama NBC,CRDB,NMB?makampuni ya simu na wanafanya vizuri,,makampuni yanayomilikiwa na serikali 100% yapo hoi Kama TTCL,,pia idara ya maji ipo hoi Kama siyo kupigwa jeki na kampuni la JR kwenye kusambaza maji,TANESCO nao wapo hoi ndio maana wanatoa kadarasi kwenye usambazaji wa umeme,
 
Ukiwa na sera nzuri mashirika yataendeshwa kwa ufanisi mkubwa sana! Na hapo kwenye sera ndipo serikali ya CCM imefeli vibaya
Sera ipi,unayoizungumzia!
Acheni unafiki,
Acheni ubabaishaji,mnajiona kila kitu mko smart sana,kumbe ni hopeless.
 
Huku Kuna baadhi ya watu ni vilaza hawajui kitu au wameloa na ushabiki wa vyama vyao hata hawajui Kama benki zote zinazo fanya vizuri hapa Tanzania zina ubia na private partnership Kama NBC,CRDB,NMB?makampuni ya simu na wanafanya vizuri,,makampuni yanayomilikiwa na serikali 100% yapo hoi Kama TTCL,,pia idara ya maji ipo hoi Kama siyo kupigwa jeki na kampuni la JR kwenye kusambaza maji,TANESCO nao wapo hoi ndio maana wanatoa kadarasi kwenye usambazaji wa umeme,
You are learned and wise.
CCM thugs need emancipation of their minds
 
Sera ipi,unayoizungumzia!
Acheni unafiki,
Acheni ubabaishaji,mnajiona kila kitu mko smart sana,kumbe ni hopeless.
Wewe huna exposure, ignorant, uninformed cant (don’t confuse with can’t). anyway you can learn even at your late age, internet is not only for browsing porn. Education can make you wise
 
Back
Top Bottom