Salute video mbovu. Sio kidogo, sana..

Salute video mbovu. Sio kidogo, sana..

Mad Max

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
26,961
Reaction score
77,890
Hawa wasanii naona hawapo serious.

Diamond ametoa wombo wake wa dakika 2 haraka haraka ova alikua hajajiandaa wakati alikua kimya kwa zaidi ya miezi 6.

Huyu Alikiba nae Salute atleast audio inasikilizika na ndefu kidogo dakika 4 ila video haileti maana kabisa. Very bad acting. Iko cheap.

Kinachowaweka juu na trending kwenye platform ni fame sio kazi.

 
Kwa muino wangu naona kiba saivi walau anaenda vyema. Haendi kwa presha kama kipindi cha kati hapo. Walau saivi anaimba anaeleweka siyo zile mivumo ya radi ya kipindi kile.

Aendelee kutulia na kutoa ngoma bila presha ya ushindani.
 
sio video tu, ukija JF sidhani kama utasikia kiba kafanya chochote cha maana. huku kila kitu kiba anaharibu tu....huku anayepatia ni mmoja tu, simba a.k.a dangote. hata hii kamata huku jf ni bonge la wimbo
 
Video sijaitazama ila najua tu tumepigwa.[emoji276]
 
Shida wa vijana wa skuhiz ili video iwe nzr kwao lazima wawemo ma bint wanacheza na bikini! Kumbuka Alikiba si mtu wa aina izo mzee. Unaamgalia video popote bila ya ku skip. Kama humuelew Alikiba utapata tabu sana
 
Back
Top Bottom