Sam Misago, kwa hili ulilomfanyia Shetta umejishushia hadhi


Sam misago boya tu huwa ana maswali ya kejeli sana mm huwa namfatlia kama anamhoji msanii ambaye kdg bdo kwny mzk anakuwa na maswal ya kejeli.........

Mshkaj anajiona sana sema shetta hanagi nyng atapotezea tu nakumbuka kuna ck aliwah kumletea jeuri Linex kdgo zingepingwa ngumi........

[HASHTAG]#StepByStep[/HASHTAG]
 
Mambo kama hayo ndiyo maana mbunge mmoja alithubutu kusema bunge kuwa fani ya utangazani kwenye luninga siyo uandishi wa habari kwani fani hiyo[tv] mtu yoyote yule anaweza.
 
Jux alimfanya Trey songs ndiyo role model wake matokeo yake Trey songs akamtafuna vanesa mdee kirahisi sana.

kuweni makini na hao marole model wenu.

Harmonize anamkubal diamond na kuna vitu baadh anafany vinafanana na vya diamond so co mbaya............

[HASHTAG]#StepByStep[/HASHTAG]
 
Mtu wao ni nani?
 
Dogo ana jifanyaga mjuaji sana huyu... Kama kazaliwa mbele F zake.. Ingekua mimi shetta ninge mnyea tu
 
Kumbe tatizo ni Alikiba... Mleta mada ungenyoosha tu maelezo chuki huwa haijifichi
 
Maelezo mengi afu kilichoandikwa sasa shudu tupu
 
Sasa kwani uongo? Kipengele gani pale shetta angechukua tuzo? Tatizo hatupendi ukweli hiyo ndio shida
 
Sasa kwani uongo? Kipengele gani pale shetta angechukua tuzo? Tatizo hatupendi ukweli hiyo ndio shida
Best Video.

- Kati Ya Video Zote Zilizoshindanishwa, Aje Video Was Worst Of The Worst
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…