Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Anasaka uteuziWakuu,
Mtangazaji mkongwe wa Clouds Media Group, Sam Sasali ana neno kwa wote wenye tabia ya kulaumu Jeshi lote la Polisi kwa makosa ya mtu mmoja
==
"Watu wanahukumu jeshi lote la Polisi inapotokea shida lakini shida sio kwa Jeshi ni mtu mmoja mmoja. Ukisema traffic wanakula rushwa sio kweli ila kuna mmoja ambae umekutana nae anafanya hivyo. Ukisema Clouds wote wahuni sio kweli kuna mmoja umekutana nae akakuonyesha uhuni hivyo tusihukumu jeshi lote la polisi kwa sababu ya polisi mmoja aliyekiuka maadili"
Huyo chawa amejuaje kama ni mmoja?Sam Sasali: Tusihukumu Jeshi lote la Polisi kwa makosa ya mtu mmoja
Born 1956Kijeba huyu
Ova
Baba ake alikuwa mchungaji wa TAG Lakini baadae akaanzisha Kanisa lakeAnasali T.A.G
Ni akina nani wenye makosa ili tuwahukumu tuwaache wengine ?Tutajie ili wengine wapate amani wasiandamwe kwa uovu wa wengine.Wakuu,
Mtangazaji mkongwe wa Clouds Media Group, Sam Sasali ana neno kwa wote wenye tabia ya kulaumu Jeshi lote la Polisi kwa makosa ya mtu mmoja
==
"Watu wanahukumu jeshi lote la Polisi inapotokea shida lakini shida sio kwa Jeshi ni mtu mmoja mmoja. Ukisema traffic wanakula rushwa sio kweli ila kuna mmoja ambae umekutana nae anafanya hivyo. Ukisema Clouds wote wahuni sio kweli kuna mmoja umekutana nae akakuonyesha uhuni hivyo tusihukumu jeshi lote la polisi kwa sababu ya polisi mmoja aliyekiuka maadili"
Nafikiri inafaa waandaliwe magereza maalumu na wafungwe wote vifungo vya maisha.(Maximum security Prisons)kwani wameshiriki pakubwa kulidunisha taifa hili,katika maendeleo yake,kwa watu wake katika uchumi,demokrasia,usalama,haki na ustawi wake.JESHI LA POLISI LOTE WAMEOZA.WANATAKIWA WAFANYIWE REFORMATION
Amesema ukweli...." Tusihukumu jeshi la polisi kwa kosa la "MTU MMOJA"!Wakuu,
Mtangazaji mkongwe wa Clouds Media Group, Sam Sasali ana neno kwa wote wenye tabia ya kulaumu Jeshi lote la Polisi kwa makosa ya mtu mmoja
==
"Watu wanahukumu jeshi lote la Polisi inapotokea shida lakini shida sio kwa Jeshi ni mtu mmoja mmoja. Ukisema traffic wanakula rushwa sio kweli ila kuna mmoja ambae umekutana nae anafanya hivyo. Ukisema Clouds wote wahuni sio kweli kuna mmoja umekutana nae akakuonyesha uhuni hivyo tusihukumu jeshi lote la polisi kwa sababu ya polisi mmoja aliyekiuka maadili"
Kuna mtu mmoja ndo wa kulaumiwa anamjua nasi tunamjua.Huyo chawa amejuaje kama ni mmoja?
Ukiona wanalaumiwa maana yake ni kwamba wengi wao wana hizo tabia za hovyo
Wewe ndo bumunda, mtu anasema ukweli kuwa ni kosa la mtu mmoja wewe akili ndogo unamuita bumunda.Bumunda Hilo
kwa mchungaji nani?Anasali T.A.G
mbona bado ni kijana?Born 1956
linaitwaje hilo kanisa?Baba ake alikuwa mchungaji wa TAG Lakini baadae akaanzisha Kanisa lake
Liko Boko nimesahau jina lakelinaitwaje hilo kanisa?
Kwa hiyo polisi mmoja pekee Tanzania nzima ndiye anayekiuka utaratibu.Wee
Wewe ndo bumunda, mtu anasema ukweli kuwa ni kosa la mtu mmoja wewe akili ndogo unamuita bumunda.