Yaani alichoongea mi mwenyewe namuona mbugila miaka buku kumbe ndo maana hata kiba anahisi jamaa mnafikiDiamond kuna ujinga aliongea kwenye hafla ya Makonda(Daud Bashite).
Sintokaa nimsapoti tena yeye wala wasanii wa WASAFI, huyu mpuuzi tulikuwa tunamsapoti, lakini yeye hatusapoti wananchi ila anaangalia maslahi yake binafsi sio ya wananchi walio wengi!
Kwanza Msanii anapaswa kuwa mpatanishi sio mchonganishi!
Diamond kafie mbali!
Vipi ulinyimwa mwaliko halafu mbona kuhangaika huwezi kuzuia mafuriko na mkono sepa lakini hautasepa na kijiji ebu jaribu kujiuliza unafanya kazi au biashara kwaajili ya mtaa wako (sadist) ficha ujingaDiamond kuna ujinga aliongea kwenye hafla ya Makonda(Daud Bashite).
Sintokaa nimsapoti tena yeye wala wasanii wa WASAFI, huyu mpuuzi tulikuwa tunamsapoti, lakini yeye hatusapoti wananchi ila anaangalia maslahi yake binafsi sio ya wananchi walio wengi!
Kwanza Msanii anapaswa kuwa mpatanishi sio mchonganishi!
Diamond kafie mbali!
yule ni mfanya biashara lazima aangalie maslah yake wew unataka aangalie maslahi ya wengi kwani ni mbunge wako? acha chuki binafsiDiamond kuna ujinga aliongea kwenye hafla ya Makonda(Daud Bashite).
Sintokaa nimsapoti tena yeye wala wasanii wa WASAFI, huyu mpuuzi tulikuwa tunamsapoti, lakini yeye hatusapoti wananchi ila anaangalia maslahi yake binafsi sio ya wananchi walio wengi!
Kwanza Msanii anapaswa kuwa mpatanishi sio mchonganishi!
Diamond kafie mbali!
Mkuu pumzika hao akilizao wanazijua kwao nyani haoni....Hata alikiba naye aliwahi kupost kwa"nimemuona Simba origin" nadhani hapo alikuwa anamdhihaki mwezie anayetumia jina la Simba
Diamond si kibendera kamweDiamond kuna ujinga aliongea kwenye hafla ya Makonda(Daud Bashite).
Sintokaa nimsapoti tena yeye wala wasanii wa WASAFI, huyu mpuuzi tulikuwa tunamsapoti, lakini yeye hatusapoti wananchi ila anaangalia maslahi yake binafsi sio ya wananchi walio wengi!
Kwanza Msanii anapaswa kuwa mpatanishi sio mchonganishi!
Diamond kafie mbali!
Jisikie home muungwana[emoji441][emoji573][emoji592][emoji598][emoji474][emoji383][emoji385][emoji384][emoji539][emoji537]haina kufeli nadhani umeelewa lugha ya emoj hizoNimekuwa shabiki mkubwa wa alikiba Kwa kipindi kirefu ila Kwa huu ulofa anao ufanya sasa sina budi kuomba rasmi kujiunga team wasafi
Lakin pia nitumie fursa hii kumuomba radhi CEO wa wasafi Ndugu Naseeb Abdul Kwa kumchukia bila sababu huku nikiaminishwa na yule lofa anayejiita mfalme
Nimefatilia interview ya diamond Jana clouds 360 na nikaona nia yake ya dhati kumaliza sintofahamu baina yake na Ali Saleh
Nilichoshwa na posts za kibakuli baadae instagram hapo ndipo niliposema ni ujinga wa kiwango cha PHD kuendelea kuwa shabiki wa huyu jamaa
Mwiba huoYaani Diamond toka aseme upumbavu kwenye video clip alitamka maneno haya "WAKIPOST TEMBO SI TUNAPOST SHOW" kama unaakili ambayo haina FA FA FA FA ZA BASHITE hupati tabu kujua walimlenga nani., kumbuka Ally Kiba ndiye alikuwa na Wild Aid programme alikuwa akipost sana wanyama Tembo kuwalinda dhidi ya ujangili. Sasa Diamond kulikuwa na haja gani sasa. Sina hamu na Diamond mafanikio yanawapa viburi
Ali kiba hawez kubali bifu liishe coz bifu ndo limemrudisha kwa gameAmbayo itakua mbaya kwa kiba kibiashara,maana jina la kiba linakuzwa na beef na diamond.
Haya tuambie wewe Bashite kaingiaje kwenye huu uzi??kama huwajui kibakuli na mwenzie mond, hao akina Mbaraka wameingiaje kati post hii? au Unafikiri humu jf wote ni Bashite?
[emoji3] [emoji3]Haya tuambie wewe Bashite kaingiaje kwenye huu uzi??
Kwahiyo Pale Domo alikuwa anafanya kazi gani?Vipi ulinyimwa mwaliko halafu mbona kuhangaika huwezi kuzuia mafuriko na mkono sepa lakini hautasepa na kijiji ebu jaribu kujiuliza unafanya kazi au biashara kwaajili ya mtaa wako (sadist) ficha ujinga
King Kiba ni kwa ajili ya watu matured...Diamond vitoto vya shule na wanyoa viduku.... Wasafi.com mchukueni hamorapaAmbayo itakua mbaya kwa kiba kibiashara,maana jina la kiba linakuzwa na beef na diamond.
Toka umdharau alishapungukiwa kitu kumchukia mondi ni sawa kujiletea.ugonjwa wa moyo burenilikuwa nampenda sana dai ila niliposkiliza interview yake dhidi ya ommydimpoz nilimdhalau sana ukilinganisha na mwenzake alivyosema....dai anajua nguvu ya media hakupaswa kuongea maneno ya kanga...