Samahani, hii Ongea ya Kocha Msaidizi wa Taifa Stars Hemed Morocco ni Kawaida au Anabwia Poda?

Aisee! Mada kama hizi ndiyo mwisho wa siku zinakupa ushindi kwenye jukwaa la michezo. Tena unapata mpaka jeuri ya kujiita GENTAMYCINE The King, na hivyo kutudharau sisi kaka zako!!

Kweli Tanzania haiishi maajabu.
Ungekuwa na Tija hapa JamiiForums nadhani hata nawe ungekuwa Nominated ila kwakuwa huna Jipya zaidi tu ya Upumbavu ulionao unatumia muda mwingi Kunichukia na Kuteseka na huu Umaarufu wangu na Ushindi nilioupata.

Na nakuhakikishia ukiona tu na kwa Msimu huu nimekuwa Nominated tena Jukwaa la Michezo ( Sports ) jua GENTAMYCINE nitashinda tena kwani najua Mwenyezi Mungu alivyonibiki kwa Shani / Tunu zake.
 
King gani popoma wewe
Una maarifa kidogo
Bilal faken

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Klipu ? Ili Nasi tukusapoti.!

Otherwise Majungu tu.... Mwache mwenzio ajikimu na yeye...ujue ana Familia..
 
Kama wee ndio great thinker Kweli bas wale waliokufollow Ni watu wajinga kukuzidi
 
Your browser is not able to display this video.
 
Samahani na mimi uandishi wako na unavyowajibu watu kwa ghadhabu au maneno makali naona kama kichwani haupo sawa hivi,samahani kama nitakukwaza kwa mtazamo wangu.
 

Nje ya mada kidogo…Sorry mkuu iv una umri gani ?
 
Mimi kila nikimsikia akiwa anazungumza na Vyombo vya Habari haraka sana Akili yangu hunipeleka kudhani ( kuhisi ) labda ni Mtumiaji wa Dawa za Kulevya.

Ninaomba Radhi Wote kwa hili Swali.
Huo msamaha yafaa ukamuombe yeye, na sio sisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…