Samahani nauliza tu je, na Helikopta za Wengine nazo ziko salama kwani Israeli sasa kabadili Formula ananyakua Juu kwa Juu tu

Samahani nauliza tu je, na Helikopta za Wengine nazo ziko salama kwani Israeli sasa kabadili Formula ananyakua Juu kwa Juu tu

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kuna moja sijui kama bado ipo pale EAC Block kila ikiruka ni lazima ikate Kwanza Kiuno kidogo na Kupinda ili ipate Mwelekeo. Na hata ikiwa inatua ni lazima Boza la Maji liwe Jirani ili Kuipoza. Na nasikia kuna wakati huwa inatumiwa sana na Baba, Mama, Mpaka Supa Blaki na Sura Ngumu Funga Buti kuwaharakisha waendako.

Dr Matola PhD ile Chopper yako iko salama Kweli? Sitaki matatizo kwani nitaitumia zaidi July - Oktoba 2025 sawa?
 
Akili imeadimika miongoni mwa Watanganyika hususani popoma
 
Kuna moja sijui kama bado ipo pale EAC Block kila ikiruka ni lazima ikate Kwanza Kiuno kidogo na Kupinda ili ipate Mwelekeo. Na hata ikiwa inatua ni lazima Boza la Maji liwe Jirani ili Kuipoza. Na nasikia kuna wakati huwa inatumiwa sana na Baba, Mama, Mpaka Supa Blaki na Sura Ngumu Funga Buti kuwaharakisha waendako.

Dr Matola PhD ile Chopper yako iko salama Kweli? Sitaki matatizo kwani nitaitumia zaidi July - Oktoba 2025 sawa?
Helicopter ile ya jeshi ni iko salamaaa japo ya hakuna kitu hatari kwenye aviation kama Helicopter muda wowote inamshinda pilot....
 
Helicopter ile ya jeshi ni iko salamaaa japo ya hakuna kitu hatari kwenye aviation kama Helicopter muda wowote inamshinda pilot....
Kuna zile zilikuwa zinatengenezwa Arusha Kigoma enzi za Tanzania ya viwanda ziliishia wapi
 
Ukiona helicopter inakata uno wakati inataka kupaa basi lolote
Linaweza happen

Ova
 
Dodoma ndio maana ipo katikati ya Tanzania yaani popote inafikika bila tatizo.
Imagine ingekua Dar na wewe upo Kagera mpakani mwa Uganda na unahitaji kwa haraka 'medical attention' kwa upande wa fuvu lako. Daaah
 
Back
Top Bottom