Mama Samia
Wengi watatoa maoni yao kuhusu hotuba yako na wahariri wa vyombo vya habari lakini leo sitajiunga nao bali nitakupa zawadi ya kutimiza siku 100 kwa Post hii ya kukuomba msamaha. Sio kwa post zangu ambazo zimekuwa critical bali kwa "Kutokukupa Muda". Mheshimiwa Rais wote walio na mashaka na uongozi wako hawana shida na wewe bali wasiwasi wa kuporomoka kwa mazuri ya awamu ya tano na ya kwanza. Personally nasali kwa ajiri yako kila siku lakini ninaogopa sana kuhusu matokeo ya hatua zinazohusu yafuatayo:
1. Kujaribu kufurahisha taasisi za kimataifa, nchi za magharibi na wawekezaji wa nje. Hawa watu, pamoja na nia yako nzuri wako kimaslahi zaidi na kinyonyaji zaidi. maeelekezo yao na uwekezaji wao unaweza kuwa na manufaa kwetu katika ajira tu na sio kupanda kwa uchumi. wakikupa 20 wanchukua 80. Mradi wa Bagamoyo Port unafikirisha sana! Resources zetu ni zetu kwa ajili ya wote na sio wachache wenye maamuzi.
2. Korona - hakuna siri kuwa kuna mambo mengi yasiyoeleweka katika ugonjwa huu. Chanjo zimewaua wengi na nchi kama India uwepo wa chanjo umeongeza vifo. Lakini pia hivi vifaa vingine vinaambukiza korona zaidi. Leo umesema wagonjwa wako kama 100. utashangaa idadi kupanda baada ya bidii zako (kama chanjo na kuleta masks) kufanyika. Je na wewe utafuata nyayo za wenzako kutangaza idadi kubwa ya wagonjwa ili upata hela zaidi? Everything is a hoax /scum about Covd-19! unataka kuzama huko!
3. Kuombaomba na kukopa na kuwapigia magoti wazungu unashusha 'umaskini jeuri' wetu ambao ulimfanya mtangulizi wako awe maarufu. Siwezi kujisikia vizuri kama Rais akivishwa kilemba cha ukoka kama Abunuasi alivyomsifia mfalme aliyemfanya atembee uchi. Wazungu wanakusifia wakati wanaku-use! Watanzania na umaskini wetu hatupendi kuwa wanyonge kwa mataifa mengine!
4. Upigaji ndani ya serikali - Mama waswahili ni wezi by nature. Ukigeuza tu shingo wataiba na maskini watasahaulika. Hata hiyo mikopo ya halmashauri itaishia nikononi mwa wajanja. kuwa na details ni bora kuliko kuwatumia assistants. Jamaa hakuwa analala...!
Hata hivyo samahani kuwa sijakupa muda. Umefanya mazuri mengi kuliko kuwa na kasoro. Muda utaamua kuwa worries zangu hapo juu ziko justified au hapana. Nakutakia utawala mwema! Kama ulivyoomba nitakupa muda. Mwaka mmoja unakutosha wakati nasali kwa ajili yako!
Nimelize kwa kukutonya. Unasifiwa na wengi lakini mitaani wanaolalamika kuhusu msimamo wako kuhusu Uviko-19 na mengine machache ni wengi pia! Usiwasibie masikio. Urais una mwisho ila legacy njema (kama a watangulizi wako katika yale mazuri) haina mwisho. Na mabaya hayasahauliki pia.
Wengi watatoa maoni yao kuhusu hotuba yako na wahariri wa vyombo vya habari lakini leo sitajiunga nao bali nitakupa zawadi ya kutimiza siku 100 kwa Post hii ya kukuomba msamaha. Sio kwa post zangu ambazo zimekuwa critical bali kwa "Kutokukupa Muda". Mheshimiwa Rais wote walio na mashaka na uongozi wako hawana shida na wewe bali wasiwasi wa kuporomoka kwa mazuri ya awamu ya tano na ya kwanza. Personally nasali kwa ajiri yako kila siku lakini ninaogopa sana kuhusu matokeo ya hatua zinazohusu yafuatayo:
1. Kujaribu kufurahisha taasisi za kimataifa, nchi za magharibi na wawekezaji wa nje. Hawa watu, pamoja na nia yako nzuri wako kimaslahi zaidi na kinyonyaji zaidi. maeelekezo yao na uwekezaji wao unaweza kuwa na manufaa kwetu katika ajira tu na sio kupanda kwa uchumi. wakikupa 20 wanchukua 80. Mradi wa Bagamoyo Port unafikirisha sana! Resources zetu ni zetu kwa ajili ya wote na sio wachache wenye maamuzi.
2. Korona - hakuna siri kuwa kuna mambo mengi yasiyoeleweka katika ugonjwa huu. Chanjo zimewaua wengi na nchi kama India uwepo wa chanjo umeongeza vifo. Lakini pia hivi vifaa vingine vinaambukiza korona zaidi. Leo umesema wagonjwa wako kama 100. utashangaa idadi kupanda baada ya bidii zako (kama chanjo na kuleta masks) kufanyika. Je na wewe utafuata nyayo za wenzako kutangaza idadi kubwa ya wagonjwa ili upata hela zaidi? Everything is a hoax /scum about Covd-19! unataka kuzama huko!
3. Kuombaomba na kukopa na kuwapigia magoti wazungu unashusha 'umaskini jeuri' wetu ambao ulimfanya mtangulizi wako awe maarufu. Siwezi kujisikia vizuri kama Rais akivishwa kilemba cha ukoka kama Abunuasi alivyomsifia mfalme aliyemfanya atembee uchi. Wazungu wanakusifia wakati wanaku-use! Watanzania na umaskini wetu hatupendi kuwa wanyonge kwa mataifa mengine!
4. Upigaji ndani ya serikali - Mama waswahili ni wezi by nature. Ukigeuza tu shingo wataiba na maskini watasahaulika. Hata hiyo mikopo ya halmashauri itaishia nikononi mwa wajanja. kuwa na details ni bora kuliko kuwatumia assistants. Jamaa hakuwa analala...!
Hata hivyo samahani kuwa sijakupa muda. Umefanya mazuri mengi kuliko kuwa na kasoro. Muda utaamua kuwa worries zangu hapo juu ziko justified au hapana. Nakutakia utawala mwema! Kama ulivyoomba nitakupa muda. Mwaka mmoja unakutosha wakati nasali kwa ajili yako!
Nimelize kwa kukutonya. Unasifiwa na wengi lakini mitaani wanaolalamika kuhusu msimamo wako kuhusu Uviko-19 na mengine machache ni wengi pia! Usiwasibie masikio. Urais una mwisho ila legacy njema (kama a watangulizi wako katika yale mazuri) haina mwisho. Na mabaya hayasahauliki pia.