Zanzibar2014
JF-Expert Member
- Nov 13, 2022
- 743
- 591
Kuna kitu nataka sema, nimekuwa najibu mada tofauti ambazo siyo zangu.
Jamani siyo kusudio langu, sikujua bado najifunza kutumia jukwa hili vyema.
Kuna baadhi ya watu wameniambia na nimefurahi kufahamishwa na nimeomba msamaha.
Ambao hawakusema kitu nawaomba msamaha na hao pia. 🙏🙏
Jamani siyo kusudio langu, sikujua bado najifunza kutumia jukwa hili vyema.
Kuna baadhi ya watu wameniambia na nimefurahi kufahamishwa na nimeomba msamaha.
Ambao hawakusema kitu nawaomba msamaha na hao pia. 🙏🙏