Hi,
Home Arusha, Geneva of Africa,mngoni baba,mama mchaga
mpenzi kwanza nilachana naye miaka minne iliyopita-mhaya mlevi pia utoto ulitusumbua
wa pili (Mmasai)nikampata baada ya mwaka mmoja na from the bottom of my heart nampenda sana.Nipo naye na nataman ndoa naye, nilimchuga kwa uangalifu mkubwa
Kimbembe: ninaham ile mbaya na mzungu only once in my life (naapa naahidi sitoplay na mhindi,mwarabu,mchina,mjapani)
Sikuwahi kuwaza kumsaliti Mmasai ila 'mara mmoja tu' sioni kama itadhuru
(sorry kwa wote watakaoudhika na post hii la hisia zinanizidia)
Hi,
Home Arusha, Geneva of Africa,mngoni baba,mama mchaga
mpenzi kwanza nilachana naye miaka minne iliyopita-mhaya mlevi pia utoto ulitusumbua
wa pili (Mmasai)nikampata baada ya mwaka mmoja na from the bottom of my heart nampenda sana.Nipo naye na nataman ndoa naye, nilimchuga kwa uangalifu mkubwa
Kimbembe: ninaham ile mbaya na mzungu only once in my life (naapa naahidi sitoplay na mhindi,mwarabu,mchina,mjapani)
Sikuwahi kuwaza kumsaliti Mmasai ila 'mara mmoja tu' sioni kama itadhuru
(sorry kwa wote watakaoudhika na post hii la hisia zinanizidia)
Merytina = Marytina?????
Mwacheni mwenzenu jamani kaelezea hisia zake hapa.....go and get ur wish MeryTina Arusha si wapo wengi tu
Ingekuwa huku Chunya nilipo, ingekuwa ngumu
So simply itabisi ujitongozeshe...:israel:
Mwacheni mwenzenu jamani kaelezea hisia zake hapa.....go and get ur wish MeryTina Arusha si wapo wengi tu
Ingekuwa huku Chunya nilipo, ingekuwa ngumu
So simply itabisi ujitongozeshe...:israel:
Sijakuelewa. Unaomba ushauri au unatafuta huyo Mdhungu JF? Maana naona mada yako kama ni conclusive.
So huyu merytina ni mdada wa kizungu?? Afu nani kakudanganya kuwa mwanamke usipotumia tGO anakmbia?? Sio kweli bana na muache kuwadhalilisha wanawake. Tena kama una mpenzi tafadhal usijaribu kumfanyia huo mchezo, ni hatari kwa afya yake na yako pia.wamasai wengi wanakimbiwa na mademu wa kizungu kwa sababu laini ya tigo hawaitumii, japo wazungu wanawapenda kwa uwembamba wao, waafrika hatuwawezi wazungu kwa mapenzi ya aina yoyote, sisi tunafikiri kimimina tu, japo wengi wetu
Jamani ajitongozeshe wapi tena wakati humu kuna mzungu tunae anaitwa masanilo ameshajitokeza, tena nadhani huyu amekuja Tanzania kama mmisionari. kwahiyo msishangae kiswahili anachoandika humu, kwani hata mimi paroko wetu mtaani simuwezi kwa kiswahili na ni mzungu kutoka Holland.
Hi,
Home Arusha, Geneva of Africa,mngoni baba,mama mchaga
mpenzi kwanza nilachana naye miaka minne iliyopita-mhaya mlevi pia utoto ulitusumbua
wa pili (Mmasai)nikampata baada ya mwaka mmoja na from the bottom of my heart nampenda sana.Nipo naye na nataman ndoa naye, nilimchuga kwa uangalifu mkubwa
Kimbembe: ninaham ile mbaya na mzungu only once in my life (naapa naahidi sitoplay na mhindi,mwarabu,mchina,mjapani)
Sikuwahi kuwaza kumsaliti Mmasai ila 'mara mmoja tu' sioni kama itadhuru
(sorry kwa wote watakaoudhika na post hii la hisia zinanizidia)