Samahani wakaka mtakaoudhika na hisia hizi

Samahani wakaka mtakaoudhika na hisia hizi

Jamani ajitongozeshe wapi tena wakati humu kuna mzungu tunae anaitwa masanilo ameshajitokeza, tena nadhani huyu amekuja Tanzania kama mmisionari. kwahiyo msishangae kiswahili anachoandika humu, kwani hata mimi paroko wetu mtaani simuwezi kwa kiswahili na ni mzungu kutoka Holland.

orait....so here you go Rev Masanilo, the one and only......
 
vipi swala tigo uko tayari kutoa? maana hawa akina masanilo bila ya tigo siku haijakamilika.

Penzi bila tiGo haliendi kabisa, hata mm nimemuuliza yupo tayari kujiexpress?
 
he!
Nadhani hakuna anaekereka na tamanio zako,
please endelea ukijua faida na hasara zako.
Mbona wengi tu wanatamani mambo ya ajabu kuliko hayo?

Uzuri wa kuwa mkweli katika mazingira uliomo ni jambo la kuzingatia, japo si la kufurahia sana.

Just out of curiousity, je wewe huwa unaishi kwa kufuata tamaa zako au niongozo fulani uliojiwekea?
 
Penzi bila tiGo haliendi kabisa, hata mm nimemuuliza yupo tayari kujiexpress?

Fidel kweli umepinda wewe kha???!!!! Tigo My Godness jamani mtachomwa moto siku ya mwisho nyie watu shauri yenu...................
 
Oooow! Nadhani ni muda muafaka wa mtoa roho kua na ofisi ndogo duniani maana tumezidi! Unaomba ruhusa ya ku-certify laana? Dada karibu kwenye maombezi...dawa ya ukimwi haijagundulika bado!
 
Hi,
Home Arusha, Geneva of Africa,mngoni baba,mama mchaga

mpenzi kwanza nilachana naye miaka minne iliyopita-mhaya mlevi pia utoto ulitusumbua
wa pili (Mmasai)nikampata baada ya mwaka mmoja na from the bottom of my heart nampenda sana.Nipo naye na nataman ndoa naye, nilimchuga kwa uangalifu mkubwa


Kimbembe: ninaham ile mbaya na mzungu only once in my life (naapa naahidi sitoplay na mhindi,mwarabu,mchina,mjapani)

Sikuwahi kuwaza kumsaliti Mmasai ila 'mara mmoja tu' sioni kama itadhuru

(sorry kwa wote watakaoudhika na post hii la hisia zinanizidia)

nasikia baridi didogo, lakini mimi albino na ngozi yangu ni nyeupe kama ya mchungaji. Hapo vipi?
Ukishapata mmoja utatamani mrefu zaidi au wa ulaya badala ya amerika, kabla hujakaa sawa umebadilishwa jina eti kicheche!
20% tu
 
Fidel kweli umepinda wewe kha???!!!! Tigo My Godness jamani mtachomwa moto siku ya mwisho nyie watu shauri yenu...................

Nitakununulia Jo Jo hebu niguse na kichwa tu!
 
Da hapo ndo huwa nasema jmn mm kuoa hapana.aise tamaa zinakusumbua
 
Daaaah! Haya bana! Dhambi zingine zinaepukika ila mnazikumbatia kwa makusudi.

Nani kakudanganya kuwa eti ukijiexpress ni dhambi?

Hao wanao sema ni dhambi ndo watumiaji wazuri kule raha bana kitu mnato.

Unakuwa na KY yako mfukoni dah kitu shaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Back
Top Bottom