Hi,
Home Arusha, Geneva of Africa,mngoni baba,mama mchaga
mpenzi kwanza nilachana naye miaka minne iliyopita-mhaya mlevi pia utoto ulitusumbua
wa pili (Mmasai)nikampata baada ya mwaka mmoja na from the bottom of my heart nampenda sana.Nipo naye na nataman ndoa naye, nilimchuga kwa uangalifu mkubwa
Kimbembe: ninaham ile mbaya na mzungu only once in my life (naapa naahidi sitoplay na mhindi,mwarabu,mchina,mjapani)
Sikuwahi kuwaza kumsaliti Mmasai ila 'mara mmoja tu' sioni kama itadhuru
(sorry kwa wote watakaoudhika na post hii la hisia zinanizidia)
Hi,
Home Arusha, Geneva of Africa,mngoni baba,mama mchaga
mpenzi kwanza nilachana naye miaka minne iliyopita-mhaya mlevi pia utoto ulitusumbua
wa pili (Mmasai)nikampata baada ya mwaka mmoja na from the bottom of my heart nampenda sana.Nipo naye na nataman ndoa naye, nilimchuga kwa uangalifu mkubwa
Kimbembe: ninaham ile mbaya na mzungu only once in my life (naapa naahidi sitoplay na mhindi,mwarabu,mchina,mjapani)
Sikuwahi kuwaza kumsaliti Mmasai ila 'mara mmoja tu' sioni kama itadhuru
(sorry kwa wote watakaoudhika na post hii la hisia zinanizidia)
acha matamanio ya hivyo kwa kuwa unata kuzidi mipaka
Hivi wewe mdada una akili timamu? kwa nini usiende kusimama barabarani ukakamilisha huo UKAHABA WAKO? Kweli ukistaajabu ya MUSA utaona FARAO.
Kwa hiyo huyo mmsai wako nae? awe mume ***** kama ulivyo shetani? Chunga sana wazungu unaowatamani, hakuna kitu kiko ndani yake.
Sorry kama nimekutusi nina hasira na wewe ningekuona ningupa maneno magumu sana, bahati yako!
Ubarikiwe sana!
Mch Masa K wa Masanilo Revival church
Ulimbukeni tu, mzungu ndio nini sasa.Ham ya mdhungu thio!
Wewe Merytina? mara hii umemchoka mmasai wako?
BB hajamchoka bana. Bado anampenda kwa Moyo wake wote ila tu amejiwa na hamu ya kuonja vya mzungu, afu ataonja mara moja tu na hatarudia tena!.. Kazi kweli jamani.Wewe Merytina? mara hii umemchoka mmasai wako?
Ulimbukeni tu, mzungu ndio nini sasa.