Samahani wakaka mtakaoudhika na hisia hizi

Huyu jamaa anitwa richrad knox picha chini hapo ... atakuja A - Town kutalii mwezi ujao .. kama utamuhitaji ni PM... lakini inabidi unipe cha juu kwa kufanikisha ndoto yako...

 
Upo Arusha now, mara ya mwisho nilikuona Songea.. Mhurumie Msaai wako, kwani tofauti ni nini..?? au upo kimaslahi zaidi..??
 
Kuna wakati nahisi Marytina ni mwanaume.
 
Nilichogundua ni kwamba kumbe haujakua utoto unakusumbua bado mdhungu kitu gani?usifanye hvy bana!!!!!!!
 

Kweli umewahi kumpenda mhaya! huyo uliye naye umesema unamfanya nini...............!!!!!!!!!!!!!!!
 
Hivi wewe mdada una akili timamu? kwa nini usiende kusimama barabarani ukakamilisha huo UKAHABA WAKO? Kweli ukistaajabu ya MUSA utaona FARAO.

Kwa hiyo huyo mmsai wako nae? awe mume ***** kama ulivyo shetani? Chunga sana wazungu unaowatamani, hakuna kitu kiko ndani yake.

Sorry kama nimekutusi nina hasira na wewe ningekuona ningupa maneno magumu sana, bahati yako!
 
Inavyoonekana binti unahusudisha sana kushika mic,kuextreme,etc.Go Merytina go!!!!
 

Nijibu PM yangu kuhusu Nape!

Asante

Mchungaji mchovu
 
dah, leo MUARABU nimepitwa na mengi kumbe. Si kimeo changu nilichonunua 2007 wamezidi kukiweka midomo hadi leo kimeingia ndani ya ndo ya maji.
Nilidhani nitawamiss ila niko nanyi. Merytina ukikosa mzungu fanya sub uweke muarabu, naamini naweza kukolifai kwa kigezo hicho. Lkn naona kama uko na kaubaguzi fulani ivi
 
Wewe Merytina? mara hii umemchoka mmasai wako?
BB hajamchoka bana. Bado anampenda kwa Moyo wake wote ila tu amejiwa na hamu ya kuonja vya mzungu, afu ataonja mara moja tu na hatarudia tena!.. Kazi kweli jamani.
 
namtahadharisha huyu mamaa kuwa wazungu hawatahiriwi wengi wao na naishi nao huku,sasa utakulaje koni mamiii sii itakuwa imechachaa?Mtunze vema mmasai wako atakuopa raha uitakayo...kama alivokushauri Pearl mwili wako hekalu la roho mtakatifu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…