Samahani wakaka mtakaoudhika na hisia hizi

Samahani wakaka mtakaoudhika na hisia hizi

We Mwanamke inaonekana Unafukuto kwenye nafsi yako,Lipo Angaiko kubwa!

Kila mtu hapa duniani akiamua kuitikia Viamshi/matamanio yake nina hakika Dunia itakuwa sehemu mbaya zaidi ya kuishi!!!

Imeandikwa,MPINGINE SHETANI NAYE ATAWAACHA!!
CHUKUA HATUA,MPINGE SHETANI VINGINEVYO UNAENDA KUCHEZEA KIFIRO NA UNALETA LAANA KATIKA UHUSIANO WAKO!!
What goes around must come around!!!
 
Hii mistari si uwauzie mabongofleva watoke...chorus na verse ya pili nao wapasue kichwa.
 
ni true..

huwezi kusema unampenda mtu halafu umsaliti kama unavyotaka kufanya..and I can assure you, this time 'the maasai' is going to find out..

Ninamuomba tu Mungu ampe hisia, ili ajue what kind of a girl you are..

Unakuja kuutangazia umma namna hii..it is not acceptable at all .. unachokipanda utavuna...and you will regret..
Tunajua ni maisha yako na unaweza kufanya lolote unalotaka kwa sababu uko huru..Lakini maisha yasiyokuwa na responsibility and good manners, hayana tofauti na mnyama,

Unajidanganya kwamba utafanya mara moja..if you succeed in your 'plan'..nakwambia utachonga mzinga!

Kumbuka mtu anayezini hovyo hovyo anafananishwa na mtu 'asiyekuwa na akili kabisa'...
tunakupenda sana, DONT DO THAT..(vinginevyo umuache huyo mmasai wako)
ngumu kumeza
 
Uki back to the topik: nakubaliana na wewe kwa 100% kuwa walio olewa/ kuoa wanaongoza kwa maambukizi, we si unaona wanavyotamani, mara mzungu, kesho mwarabu, jmosi mchina n.k. Sasa Fidel kwa mpango huu bora nini?? Usiseme hit & run coz nayo si salama kivile.
Hahaha mi kwa jinsi navyo ona hit & run ina Faida nyingi kuliko hasara.

Kwa taarifa yako walio olewa/oa wanaongoza kwa maambukizo ya ukimwi chunguza utabaini.
 
kwa nini usitumie fetch,**** and forget kwa vichenchebe utavifaidi sana ila mimi NO (mmasai and only once mzungu)
mery hivi kweli nyumbani wana taharifa waeleze wazazi wakupe baraka na masai akigundua utawezakumshusha mori haya/
 
No at all
Huwezi kuamini namheshim sana bf wangu
ukioneshwa na kuambiwa niwapo mbali na kuwa na hisia mchanganiko huwezi amin

100% i will be a good wife to suit any body given hanywi pombe

Sasa hii sentensi inaonyesha kuwa unawashwa nyumanju hiyo sehemu - to suit anybody! w.t.x?
 
Yale yale! Haibiwi mtu, kwa kifupi hufai hata kuwa kwenye mahusiano
Mchungaji usinilaan
mbona nina rules zangu kama vipi wajitokeze wakaka na wadada wataje wameplay na wangapi usiposhangaa sembuse mimi wawili?
 
Hahahaha mmasai amesha anza kukumega? maana mchagga ulikataa ulisema ulikuwa unamlia visenti vyake. Huyu mmasai anakumega?
kwangu kumegwa kwa heshima rahaa tena sana, na zaidi iwe condomless yaan juisi ikiingia najihihi kuzimia kwa raha
 
Dena not like that just say ABC kuhusu hisia zangu (hata kama zimefanana na za Chauro poa tu manake hatufanani)

Mertina ni lazma utii hizo hisia?kama kweli unamaanisha hebu omba Mungu akuondolee hiyo kitu,vinginevyo nakuombea utulivu na mmasai wako:car:
 
Merytina tuna uhakika gani umeplay na wawili tu??
Mchungaji usinilaan
mbona nina rules zangu kama vipi wajitokeze wakaka na wadada wataje wameplay na wangapi usiposhangaa sembuse mimi wawili?
 
mery hivi kweli nyumbani wana taharifa waeleze wazazi wakupe baraka na masai akigundua utawezakumshusha mori haya/
wewe acha kabisa tena nakwambia wadada wanaoachika ni wazembe
nina nidham ya ajabu mtaani kwetu na kwake
mimi mi nacharuka kwenye key board tu na sio mtaani
 
Mertina ni lazma utii hizo hisia?kama kweli unamaanisha hebu omba Mungu akuondolee hiyo kitu,vinginevyo nakuombea utulivu na mmasai wako:car:
hapored thanks a lot
bado sijasign in kujiachia kwa mzungu ila nawish so ipo nafasi ya hili kutotokea
 
It good to speak ur mind but sorry JF is for responsible people.
 
Tamaa mbaya. Hata uki-try na huyo mzungu, then mkaoana na mmasai. Kinachonitisha ni somewhere down the road baada ya ndoa utamwona Latino roho itaingia tamaa tena na utakujasema una hamu na Latino, mara tena Mhabeshi, na tena hadi utamaliza wote.
Uzuri wa bucha......nyama ni ile ile. Acha tamaa. Tamaa haina mwisho. Mheshimu na mpende ulie nae.
 
Mi namshangaa badala ya kututafuta mapromota anatafuta mzungu.
Hahahahaha! Hata huyo bongo fleva inabidi ajiulize sana ndo akubali kuuziwa hii mistari, coz asipoangalia verse ya pili itamletea shida kidogo
 
Back
Top Bottom