Samahani wakaka mtakaoudhika na hisia hizi

Samahani wakaka mtakaoudhika na hisia hizi

i never break rules
Nikisema mara moja sibadilishi nione hivi kimapepe ila sisombwi hata kwa mto Nile

Akija mzungu koko akirusha ndoano tu tayari amesha kumega kilainiiiiiiiiiiii
 
Halafu mtu unadanganyika una mke sijui girl friend.....full wizi huu
Mkuu mimi nashukuru nina mrithi wangu dume la mbegu safi kabisa, lakini hizi sanaa nyingine kwangu hazina nafasi, maana kuna engagement ring, then wedding ring halafu inafuata suffer ring. mimi aka sitaki kufa kabla atujaikombowa nchi yetu. style ni eat & run.
 
Mi mwenyewe mzungu njoo nikurukishe kichura chura achana na mvaa lubega huyo

Uzuri wako wasema yatendekayo lakini watu awakubali! sababu tu atujuwani!kuna watu na heshima zao lakini we acha tu!keep on dogo!
 
Suffer ring - Nimeipenda hii. Kwa hali hii bora kujiweka pembeni mkuu. Ya nini ufe siku sio zako???
Mkuu mimi nashukuru nina mrithi wangu dume la mbegu safi kabisa, lakini hizi sanaa nyingine kwangu hazina nafasi, maana kuna engagement ring, then wedding ring halafu inafuata suffer ring. mimi aka sitaki kufa kabla atujaikombowa nchi yetu. style ni eat & run.
 
Hebu fikirieni kuwa huyu ni mke wake mwanaume umemuweka ndani halafu yeye ana mawazo ya kipuuzi kama haya
ivuga hili limenidrive as story ya office mate wangu ambaye ni mke wa mtu so inawezekana kabisa hata mkeo/demu wako akawa kama mimi tena mbaya zaidi yeye anawazia mwarabu
 
Unawashwa wewe! wakibosho husema hivi "KUBARYO"
 
sidhani kama unaridhika hapo kwa mmasai ulipo?ungekuwa unaridhika usingetamani vya nje! wacha kumpotezea muda kaka wa watu kwa kumuweka 'pending' interest zako zote ziko nje.....anyway acha kutushusha wanawake tuonekana sio waaminifu.
 
endeleza kuchakaza goma mara moja aitoshi kama vipi reseat tena
 
tafadhali tusitukanane
<br />
<br />




Hajakutukana,amekupa tu angalizo,ni stereotype ambayo ni Ukweli kwa asilimia kubwa!
Wazungu wachache sana ndiyo hawakorogi mavi,wengi ni wakorogaji so in order to satisfy ur wicked curiousity hivyo inashauriwa kwamba utembee na mafuta ya mgando prefarably KY kwa ajili ku-lubricate njia ya haja kubwa!!
No offense,take it easy,ni Ushauri tu!!!
 
wa 4-5-6-7-8-9-10 nao watakuja na utawavulia tu,si unajua mlamba asali uchonga mzinga?alafu haina mabega hiyo itapita tu.Tunahuhakika gani ni wawili tu?
Pearl hapa hatujuani kwa sura kwa hiyo sina haja ya kusema uongo.
Hapa JF nawekaga mawazo ambayo naogopa kumwambia yeyote anayenifaham so hizi ni hisia zangu za kweli
Hapo race zingine siwataki naturally so siwezi kabisa
Only ' mzungu once' and i never break the rules nijiridhishe tu matamanio yangu
 
Kaja kuamsha vilivo lala lol hapa najindaa kwenda kutoa reward kwa mtoto.

Ebu funguka sijakusoma bado, unajuwa huwa sisikilizi taarabu, kwahiyo ukiongea na mimi kwa CODE basi unaniacha njiani.
 
wewe unavo mfanyia masai sio vizuri jiurize ungekua ni ww mruhusu basi na msai wako na yy aende kwa mhindi

ni true..

huwezi kusema unampenda mtu halafu umsaliti kama unavyotaka kufanya..and I can assure you, this time 'the maasai' is going to find out..

Ninamuomba tu Mungu ampe hisia, ili ajue what kind of a girl you are..

Unakuja kuutangazia umma namna hii..it is not acceptable at all .. unachokipanda utavuna...and you will regret..
Tunajua ni maisha yako na unaweza kufanya lolote unalotaka kwa sababu uko huru..Lakini maisha yasiyokuwa na responsibility and good manners, hayana tofauti na mnyama,

Unajidanganya kwamba utafanya mara moja..if you succeed in your 'plan'..nakwambia utachonga mzinga!

Kumbuka mtu anayezini hovyo hovyo anafananishwa na mtu 'asiyekuwa na akili kabisa'...
tunakupenda sana, DONT DO THAT..(vinginevyo umuache huyo mmasai wako)
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Back
Top Bottom