Samahani wakaka mtakaoudhika na hisia hizi

LOL... LOL... Marytina umenifurahisha na am impressed pia... Express your self dear...
kweli dear why nijibanie wakati bado sijafungwa kwa ndoa?
Hata mimi nilibe impressed na office mate wangu
 


Dada nenda kafanyiwe maombi!!!!!!!!!!!!!!!. Dada nakuhurumia kwani inaonyesha una pepo la ngono kwani hitaji lako linaonyesha dhahiri wewe si mwaminifu. Kiungo cha mzungu hakina tofauti sana na huyu mmasai wako tofauti ni rangi tu ila mzungu ataenda extra mile kukuharibia utu wako kwa kuhakikisha atatumia maeneo yote ya siri. Afadhali uachane huko kwani ukijaribu lazima utajuta.
 
katika maisha yangu nimewavulia wawili tu hence the proposed mzungu atakuwa wa tatu (jamani hapo nisiitwe vuavua)
 
Mwacheni mwenzenu jamani kaelezea hisia zake hapa.....go and get ur wish MeryTina Arusha si wapo wengi tu

Ingekuwa huku Chunya nilipo, ingekuwa ngumu

So simply itabisi ujitongozeshe...:israel:
appreciated
 
mie hawa watu weupe nimewagonga wote wadoc/wachina/waarabu na wazungu lengo langu ilikuwa ni kuwaonja tu test zao zikoje na kuweka jiwe la msingi,ila Mwafrika mwenzangu ndiye ninayempenda sana kuliko ngozi nyeupe.
 
Hebu fikirieni kuwa huyu ni mke wake mwanaume umemuweka ndani halafu yeye ana mawazo ya kipuuzi kama haya
 
Akipigwa mimba au mimba ikimpata anakuja kukupigia magoti ha kulia lia
 
wa 4-5-6-7-8-9-10 nao watakuja na utawavulia tu,si unajua mlamba asali uchonga mzinga?alafu haina mabega hiyo itapita tu.Tunahuhakika gani ni wawili tu?
katika maisha yangu nimewavulia wawili tu hence the proposed mzungu atakuwa wa tatu (jamani hapo nisiitwe vuavua)
 
Na nyie bado mnachangia hili lithread mbona mnaniudhi hakyanani ndo hawa kesho ataamka na kuleta tena up.....p...a humu!
 
TF na wewe unamuunga mkono Fidel??
Mimi nilikuwa nashangaa kwanini mabinti huwa wanamgombania Fidel baada ya kujua ni kwasababu gani wala sikuendelea kushangaa nikawa naona kawaida tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…