Samahani wakaka mtakaoudhika na hisia hizi

tafadhali tusitukanane

Tusi ni lipi hapo? kutoa menu sio tusi, ila ukiulizwa uko tayari kutoa buffee mtu ajisevie mwenyewe ndio yamekuwa matusi? utamuweza kweli mzungu kwa mwendo huo? maana atataka akutie vidole hadharani utaweza kuvumilia?
 



Nina miongozo and i never break them unless otherwise kwa mzungu
and 4 two years now nimekuwa nikiihujumu nafsi yangu kwa kutompa hili
 
Na nyie bado mnachangia hili lithread mbona mnaniudhi hakyanani ndo hawa kesho ataamka na kuleta tena up.....p...a humu!

Mbona hata wewe hapa ndio umeshachangia hivyo! haijarishi umeandika nini lakini uko ndani ya thread hii hii.
 
Oooow! Nadhani ni muda muafaka wa mtoa roho kua na ofisi ndogo duniani maana tumezidi! Unaomba ruhusa ya ku-certify laana? Dada karibu kwenye maombezi...dawa ya ukimwi haijagundulika bado!

Duh hii tamu

tena hii ofisi iwe Arusha ili niyazime kabisa mawazo yangu
 
mie hawa watu weupe nimewagonga wote wadoc/wachina/waarabu na wazungu lengo langu ilikuwa ni kuwaonja tu test zao zikoje na kuweka jiwe la msingi,ila Mwafrika mwenzangu ndiye ninayempenda sana kuliko ngozi nyeupe.
haya tena kumekucha!! Mhhhh....
 

Inavyooneka GENES kutoka kwa baba ni more dorminant kwako ndio maana unapenda kutest ladha mbalimbali. Tafadhali kuwa mwangalifu mwanangu
 
Mwacheni mwenzenu jamani kaelezea hisia zake hapa.....go and get ur wish MeryTina Arusha si wapo wengi tu

Ingekuwa huku Chunya nilipo, ingekuwa ngumu

So simply itabisi ujitongozeshe...:israel:

Ha ha haaaaaaaa mkuu anapita anamwambia mdhungu SEE MY MILK IS STANDING!
 
Yani ndo tuachane nae ivo maana simuelewi au wewe mwenzangu umemuelewa


Mbona hata wewe hapa ndio umeshachangia hivyo! haijarishi umeandika nini lakini uko ndani ya thread hii hii.
 
Duh, wishes zingine kiboko. Good luck.
 
Yani ndo tuachane nae ivo maana simuelewi au wewe mwenzangu umemuelewa

Unajuwa sisi wengine tunaspend muda mwingi kwenye jukwaa la siasa, sasa kwenye jukwaa hili tunakuja kupumzisha akili badala ya kwenda Facebook kwahiyo mimi naona poa tu. sometime don't take life too serious.
 
Haaaaahaha! Ahsante, sijaonekana siku nyingi jukwaani.

 
Ngoja ntulie mwaya unajua leo nimeletewa zawadi na mama mkwe basi akili yote imehama duh!


Unajuwa sisi wengine tunaspend muda mwingi kwenye jukwaa la siasa, sasa kwenye jukwaa hili tunakuja kupumzisha akili badala ya kwenda Facebook kwahiyo mimi naona poa tu. sometime don't take life too serious.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…