Samahani wanaume naomba kuwauliza swali

Y
Ufike usifike shauri yako, kuna muda nakupa hela huko rohoni naumia ila kwakuwa inahitajika sisi tuwahudumie nalazimika kutoa tu, pia kuna siku wewe unahitaji kunjunjwa mimi sitaki ila nakunjunja hivyohivyo kukuridhisha
Yaa sure,then life goes on
 
Wewe kuna vingi utakuwa unadanganya si ajabu hata hela huwa unamwibia!!? Kwanini usiwe muwazi tu!
 
Anagundua kutokana na state ya V yako itakavyokuwa kabla yeye ahajakojoa
 
Huwa tunajua kama tayari au bado uko nyegezi kona,

Mapigo ya moyo yatakimbia mno na pia unakuwa uko pause,,, ukizubaa nakukojoza la pili [emoji1]
 
Nimesema kuna muda unakuwa hufeel,mwenzio anauhitaji wa hali ya juu
Ukisema ni vizuri zaidi coz kama anajali atafanya juhudi uwe active hadi ufike eldoret. Sasa unapojifangisha hivyo si unajidanganya tu, mwenzako amepiga bonge la bao wewe una-fake huoni kuwa sio sawa...

Tell him how you feel, then atajua jinsi ya kukuchezea hadi uwe kwenye mood.
 
Sure,mekuelewa
 
Jinsia yako tafadhali isije ikawa tunamshauri James delicious
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…