Samahani wanaume naomba kuwauliza swali

Samahani wanaume naomba kuwauliza swali

Takwimu zinasema kuna chansi kubwa mwanamke kufake kufika climax kuliko nyoka kukung'ata na kukumwagia sumu
 
Habari za masiku?
Sorry,naomba mnijibu hili swali wanaume wa humu ndani huenda likanisaidia katika safari yangu hii na mwenzangu.
Ni hivi,kuna muda fulani huenda kutokana na majukumu mengi na kujawa na stress kibao kuna muda mtu unakosa hata hamu ya kujunjana,lakini inatokea mwenzangu anataka,sawa ili nisipelekwe kwa baroz nyumba kumi kuwa namnyima unyumba mwenzangu naamua kukubali kusex.Sasa shida inakuja kwenye kufika kileleni inabidi nipretend nimefika kwa namna yoyote ili nawe umalize tu uinuke niwe huru from mbanano.
Swali langu ni hili,hivi huwa mnagundua kwamba hatukufika Kibo na Mawenz ila tumepretend kwamba tumefika?
Kila mtu afunge magoli yake bila assist
 
Habari za masiku?
Sorry,naomba mnijibu hili swali wanaume wa humu ndani huenda likanisaidia katika safari yangu hii na mwenzangu.
Ni hivi,kuna muda fulani huenda kutokana na majukumu mengi na kujawa na stress kibao kuna muda mtu unakosa hata hamu ya kujunjana,lakini inatokea mwenzangu anataka,sawa ili nisipelekwe kwa baroz nyumba kumi kuwa namnyima unyumba mwenzangu naamua kukubali kusex.Sasa shida inakuja kwenye kufika kileleni inabidi nipretend nimefika kwa namna yoyote ili nawe umalize tu uinuke niwe huru from mbanano.
Swali langu ni hili,hivi huwa mnagundua kwamba hatukufika Kibo na Mawenz ila tumepretend kwamba tumefika?

Swala zuri Kweli..... inategemea..... Kama mme ni goigoi hata ukimwambia hawezi badilika hauna hapa ya kumpa masikitiko..... usimwambie, ila shauri namna ya kufanya mapenzi ambayo utakupelekea wewe kufikia lengo.....
 
Habari za masiku?
Sorry,naomba mnijibu hili swali wanaume wa humu ndani huenda likanisaidia katika safari yangu hii na mwenzangu.
Ni hivi,kuna muda fulani huenda kutokana na majukumu mengi na kujawa na stress kibao kuna muda mtu unakosa hata hamu ya kujunjana,lakini inatokea mwenzangu anataka,sawa ili nisipelekwe kwa baroz nyumba kumi kuwa namnyima unyumba mwenzangu naamua kukubali kusex.Sasa shida inakuja kwenye kufika kileleni inabidi nipretend nimefika kwa namna yoyote ili nawe umalize tu uinuke niwe huru from mbanano.
Swali langu ni hili,hivi huwa mnagundua kwamba hatukufika Kibo na Mawenz ila tumepretend kwamba tumefika?
Kileleni kwa utawala wa sasa hata sisi tunapretend kufika!
 
Sasa kwanini uwe unapretend, si bora mwambie ukweli tu kuliko kumuacha akishughulika mwisho wa siku kumbe wewe una-act, mapenzi hisia [emoji848][emoji848][emoji848]
 
Mapenzi inabidi ujijali mwenyewe kwa sababu ile ni raha ukijifanya ujafika sina mpango kabisa labda dem aseme hapo nampiga dozi ya fansida
 
Kwa mwanaume anayekaza ke wengi huwezi kumdanganya,kwa sababu anakuwa na uzoefu mkubwa ni rahisi kujua huyu anaigiza au hapana;kwa sababu unapokuwa unataka kufika kileleni kuna utamu utakuja kwako na kwa sekunde chache unaweza kupoteza kumbukumbu
 
Kuanzia leo usiku kama huna mood mwambie achezee kidude hicho hadi kitoe mma[emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
[emoji2954][emoji2954][emoji2954][emoji2954]
 
Kwa mwanaume anayekaza ke wengi huwezi kumdanganya,kwa sababu anakuwa na uzoefu mkubwa ni rahisi kujua huyu anaigiza au hapana;kwa sababu unapokuwa unataka kufika kileleni kuna utamu utakuja kwako na kwa sekunde chache unaweza kupoteza kumbukumbu
Ni kweli kabisa
 
Kisura chako kimekaa kiwiziwizi wa mapenzi...huyo jamaa kama anakuamini basi ni mgeni kwenye sekta hiyo.[emoji23][emoji23][emoji23] Wewe hata ukiniambia gdnyt lazima nitoke nje nikahakikishe kama kwel usiku umeingia
Ha ha haaa,nimecheka kwa sauti.daa
 
Back
Top Bottom