Samahani wanaume naomba kuwauliza swali

Samahani wanaume naomba kuwauliza swali

Habari za masiku?
Sorry,naomba mnijibu hili swali wanaume wa humu ndani huenda likanisaidia katika safari yangu hii na mwenzangu.
Ni hivi,kuna muda fulani huenda kutokana na majukumu mengi na kujawa na stress kibao kuna muda mtu unakosa hata hamu ya kujunjana,lakini inatokea mwenzangu anataka,sawa ili nisipelekwe kwa baroz nyumba kumi kuwa namnyima unyumba mwenzangu naamua kukubali kusex.Sasa shida inakuja kwenye kufika kileleni inabidi nipretend nimefika kwa namna yoyote ili nawe umalize tu uinuke niwe huru from mbanano.
Swali langu ni hili,hivi huwa mnagundua kwamba hatukufika Kibo na Mawenz ila tumepretend kwamba tumefika?
Hilo swali ni la kitoto sana
Yaani nifanye mapenzi nisifike kileleni.. haiwezekani labda kama hajakuandaa
 
Kwani lengo la mwanaume kusex ni lipi? Kama siyo kukojoa yeye tu, usipokojoa ni uzembe wako, haipotezei mshindo.
 
Habari za masiku?
Sorry,naomba mnijibu hili swali wanaume wa humu ndani huenda likanisaidia katika safari yangu hii na mwenzangu.
Ni hivi,kuna muda fulani huenda kutokana na majukumu mengi na kujawa na stress kibao kuna muda mtu unakosa hata hamu ya kujunjana,lakini inatokea mwenzangu anataka,sawa ili nisipelekwe kwa baroz nyumba kumi kuwa namnyima unyumba mwenzangu naamua kukubali kusex.Sasa shida inakuja kwenye kufika kileleni inabidi nipretend nimefika kwa namna yoyote ili nawe umalize tu uinuke niwe huru from mbanano.
Swali langu ni hili,hivi huwa mnagundua kwamba hatukufika Kibo na Mawenz ila tumepretend kwamba tumefika?
mi kugundua kama umefika kileleni lazima uvaibrate baada ya hapo haitaji kuguswa sehemu yoyote kwa muda kama dakika 5 hivi
 
Wanaume wajanja skuhiz hatujali umefika au hujafika,mi nachojali je mim binafsi nmefika..
Yani niache kujijali mim nikujali wew...we kama unataka kufika kilelen basi fika kwa juhud zako
Ha ha haaa,aisee.no care yan
 
Wanawake kuna wakati migogoro zingine mnaanzisha ninyi kwa kukusudia ama pasipo kukusudia.
Anyway, hakuna dawa na suluhisho kubwa kwenye mahusiano/ndoa zaidi ya ninyi wawili kuzungumza. Na ili mazungumzo yenu yazae matunda chanya, basi yapaswa mmoja kati yenu ajishushe ili muweze kupata suluhisho.
Mekuelewa mkuu
 
Habari za masiku?
Sorry,naomba mnijibu hili swali wanaume wa humu ndani huenda likanisaidia katika safari yangu hii na mwenzangu.
Ni hivi,kuna muda fulani huenda kutokana na majukumu mengi na kujawa na stress kibao kuna muda mtu unakosa hata hamu ya kujunjana,lakini inatokea mwenzangu anataka,sawa ili nisipelekwe kwa baroz nyumba kumi kuwa namnyima unyumba mwenzangu naamua kukubali kusex.Sasa shida inakuja kwenye kufika kileleni inabidi nipretend nimefika kwa namna yoyote ili nawe umalize tu uinuke niwe huru from mbanano.
Swali langu ni hili,hivi huwa mnagundua kwamba hatukufika Kibo na Mawenz ila tumepretend kwamba tumefika?

Of course uki-fake mwenzio (mliezoeana nae) atajua tu. If it was me ndio mumeo I would have loved to be told kuwa haupo in the right mood. Kufanya uyafanyayo kungenisababisha nijisikie vibaya.

Haya ni mawazo yangu MIMI based my own feelings. Sio lazima ya-apply kwa huyo ulienae.
 
utaachaje kujua mke/mpenzio amefika top......endelea kufake tuu....we know very well......maadam nakimiliki poa tuu..
 
Of course uki-fake mwenzio (mliezoeana nae) atajua tu. If it was me ndio mumeo I would have loved to be told kuwa haupo in the right mood. Kufanya uyafanyayo kungenisababisha nijisikie vibaya.

Haya ni mawazo yangu MIMI based my own feelings. Sio lazima ya-apply kwa huyo ulienae.
Ni kweli,I feel sorry!
 
Back
Top Bottom