Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Ndio hivyo, msaidie mwenzako mfike pamojaNi kweli kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio hivyo, msaidie mwenzako mfike pamojaNi kweli kabisa
Huwa tunagundua ila ndo ivo na sisi hatupendi kujichosha sana msijemkatua bureHabari za masiku?
Sorry,naomba mnijibu hili swali wanaume wa humu ndani huenda likanisaidia katika safari yangu hii na mwenzangu. Ni hivi,kuna muda fulani huenda kutokana na majukumu mengi na kujawa na stress kibao kuna muda mtu unakosa hata hamu ya kujunjana,lakini inatokea mwenzangu anataka,sawa ili nisipelekwe kwa baroz nyumba kumi kuwa namnyima unyumba mwenzangu naamua kukubali kusex.Sasa shida inakuja kwenye kufika kileleni inabidi nipretend nimefika kwa namna yoyote ili nawe umalize tu uinuke niwe huru from mbanano. Swali langu ni hili,hivi huwa mnagundua kwamba hatukufika Kibo na Mawenz ila tumepretend kwamba tumefika?
None of our bussinesHabari za masiku?
Sorry,naomba mnijibu hili swali wanaume wa humu ndani huenda likanisaidia katika safari yangu hii na mwenzangu.
Ni hivi,kuna muda fulani huenda kutokana na majukumu mengi na kujawa na stress kibao kuna muda mtu unakosa hata hamu ya kujunjana,lakini inatokea mwenzangu anataka,sawa ili nisipelekwe kwa baroz nyumba kumi kuwa namnyima unyumba mwenzangu naamua kukubali kusex.Sasa shida inakuja kwenye kufika kileleni inabidi nipretend nimefika kwa namna yoyote ili nawe umalize tu uinuke niwe huru from mbanano.
Swali langu ni hili,hivi huwa mnagundua kwamba hatukufika Kibo na Mawenz ila tumepretend kwamba tumefika?
DuhKama kwenye picha ni wewe.. Basi hapo hakuna mwanamke mnabanduana wanaume mwanamke sura kama ya Dudu baya
We zuga tu kuwa kama mdoli tu haina tofauti huwa tunalizika na hali yoyote cha msingi umetoa mzigo kwa baba watotoHabari za masiku?
Sorry,naomba mnijibu hili swali wanaume wa humu ndani huenda likanisaidia katika safari yangu hii na mwenzangu.
Ni hivi,kuna muda fulani huenda kutokana na majukumu mengi na kujawa na stress kibao kuna muda mtu unakosa hata hamu ya kujunjana,lakini inatokea mwenzangu anataka,sawa ili nisipelekwe kwa baroz nyumba kumi kuwa namnyima unyumba mwenzangu naamua kukubali kusex.Sasa shida inakuja kwenye kufika kileleni inabidi nipretend nimefika kwa namna yoyote ili nawe umalize tu uinuke niwe huru from mbanano.
Swali langu ni hili,hivi huwa mnagundua kwamba hatukufika Kibo na Mawenz ila tumepretend kwamba tumefika?
Jibu ni hilo hapo juu...Ngoja nione majibu yao....
Nina uhakika wengi wataenda OP
Wewe kuna vingi utakuwa unadanganya si ajabu hata hela huwa unamwibia!!? Kwanini usiwe muwazi tu!
Kisura chako kimekaa kiwiziwizi wa mapenzi...huyo jamaa kama anakuamini basi ni mgeni kwenye sekta hiyo.[emoji23][emoji23][emoji23] Wewe hata ukiniambia gdnyt lazima nitoke nje nikahakikishe kama kwel usiku umeingia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]Jinsia yako tafadhali isije ikawa tunamshauri James delicious
Huyo jamaa yako ana moyo sana. Mimi mwanamke huwa nampima kwenye maongezi kwanza na kumchezea sehemu pendwa nikiona hakuna ushirikiano huwa nahirisha gemu sababu huwa naona kama nabaka halafu utanichosha sana sababu kunakuwa hakuna ushirikiano wowote. Mkiwa kwenye mood wote gemu huwa linakuwa tamuu sana. Unapiga mashuti golini unaona kabisa kipa anajituma kudaka mpira halafu kuna muda unaona kabisa anakuvuta jezi yaani nakung'ang'ania. Ukimaliza ukimwangalia usoni unaona kabisa hakuna makunyazi yoyote. Mwingine anakupongeza kabisa kwa kukupa asante. Kukutana na mwanamke ambaye hana hisia ni sawa na kubeba kilo 150 begani.Ha ha haa,kabisa