Samahani wanawake wote mnaoniPM

Khokhokho tulia taja mahari mwenzio akapate mauno ya kimakonde aiiiiiiii
πŸ™ˆπŸ™ˆπŸ™ˆπŸ™ˆπŸ™ˆπŸ™ˆπŸ™ˆπŸ™ˆπŸ™ˆ

🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣
 
Umenena vyema.
Jina tuu lina ukakasi. Unaanzaje kusema babe wangu anaitwa Comrade kipepe[emoji28][emoji28]na hio avatar kama kijogoo.
 
Hapana mzee!

Hujapata exposure ya kutosha, humu kuna wadada ni first class kabisa. Unajua vile mtu amehonga wilaya kwa mdada??? Basi wapo wanaume wanaweza honga dunia ili kuwa nao.

Tafadhali naomba usiniambie nkutajie baadhi yao.
Best usinisahau kwenye list.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…