@manengelo umeona hii lakini[emoji28][emoji28][emoji28]?FRAGARIAAAAA, PM pangekuja mtu kama wewe hata Uzi nisingefungua, jina lenyewe FRAGARIA, Linaonyesha ni jinsi gani ulivyo mzuri, sio mtu et anajiita manengelo, sasa manengelo Ndio nini??? Si bora angejiita LINENGELO yaani limoja halafu likubwa ahahaahahaa
I love yuuu Fragariiiiiaaaazzzzz
Eeeeh tulia kwanza Kwani ulishatajiwa kile kiasi?
Subiri mimi Niko PM kwa dogo nazoza atoe namba, hebu hicho kichwa chako kitulie mzee
Relief Mirzska kumbe.Kweli wewe ni mshenga wa kufa mtuuu
Kwahiyo hutaki kuunga mkono juhudi za awamu ya tano? Hujui kama hii ni Tanzania ya viwanda? Kingine baada ya kutajiwa mahari inabidi uwe na kadi ya Chama maana kwetu kuoa lazima uwe na kadiRelief kaniambia et nitume 200k ya sukari, sukari gani ya laki2??? Au mnataka kufungua kiwanda?
Nimecheka sana comments zenu.Hahahahaahahah
Nipo tayari kujiunga katika jeshi la kijaniKwahiyo hutaki kuunga mkono juhudi za awamu ya tano? Hujui kama hii ni Tanzania ya viwanda? Kingine baada ya kutajiwa mahari inabidi uwe na kadi ya Chama maana kwetu kuoa lazima uwe na kadi
Ile kila comment nikitoa wanaona ipo kishetani shetani hata kama nimeongea fact. Nimeamua kutumia jina langu halisi sasa ili niwe Mimi.Hahaa sijui kwann umebadili id name...
Nililipenda lile zaid
Nakufwaaaaa😫😫😫😫😫😫😫[emoji28][emoji28]changamsha genge tuu ukute na yange yange yupo pm kwa comrade.
Ndo "niki name" yako.JF bana, akili zako zinakutuma kua hilo Ndio jina langu kamili???
Kwaiyo umeshafunga piemu?Pumzika mrembo
Nipo tayari kujiunga katika jeshi la kijani
Safiii...hannah montanaIle kila comment nikitoa wanaona ipo kishetani shetani hata kama nimeongea fact. Nimeamua kutumia jina langu halisi sasa ili niwe Mimi.
Hapana, nilikua msomaji mzuri wa gazeti la saniNdo "niki name" yako.
Ongea na comrade vizuri kama yupo pm.Nakufwaaaaa[emoji31][emoji31][emoji31][emoji31][emoji31][emoji31][emoji31]
Sawa mchuchuOooh sasa mke umepata ngoja mahari itajwe
Yangeyange Ndio naniOngea na comrade vizuri kama yupo pm.
Au nikusaidie Mimi[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Eti comrade kipepe yange yange wa huyu mshenga wako alikuja pm?
Ametufanyia vibaya kweli. Tangazo alete mwenyewe halafu atuzuie.Safiii...hannah montana
Naona kipepe kawapiga stop msifike kwenye piemu yake[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
NdioKwaiyo umeshafunga piemu?