Samaki aina ya TUNA anauzwa hadi milioni 70 kwa mmoja. Je, haiwezekani kupanda vifaranga ziwa Victoria?

Hivi yule faru Majaliwa aliacha shughuli zake zote na kuanza kumsaka mapori yote Tanzania ni bei gani thamani yake tusije tukajitafutia matatizo kwa kufuga samaki siku anaibiwa tuanze kusachiwa hadi kwenye boxer?
 
Hivi yule faru Majaliwa aliacha shughuli zake zote na kuanza kumsaka mapori yote Tanzania ni bei gani thamani yake tusije tukajitafutia matatizo kwa kufuga samaki siku anaibiwa tuanze kusachiwa hadi kwenye boxer?
Hahahahahahaj
 
Unachanganya kuberi,bhangi,ugolo lazima uje na uzi kama huu. Huyu Tuna ndo million 70 ? Kwa nini mnapenda kutuchukuliA sisi Sote watoto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…