Samaki aina ya TUNA anauzwa hadi milioni 70 kwa mmoja. Je, haiwezekani kupanda vifaranga ziwa Victoria?

Samaki aina ya TUNA anauzwa hadi milioni 70 kwa mmoja. Je, haiwezekani kupanda vifaranga ziwa Victoria?

Kuna aina mbili tu za samaki wa maji chumvi (baharini) ambao unaweza kuwafunga(kupandikiza) ktk maji baridi.
Nimesahau majina lakini mojawapo ni yule mwenye hasira sana ambae waswahili wamemtungia methali.
Tuna hawezi kuishi na kuzaliana maji baridi kama ziwani.
Unachoweza kufanya ni kuwafuga ktk mabwawa ya maji chumvi pembezoni mwa bahari au kuwafunga ktk bahari yenyewe kwa kutumia miundombinu ya cage fish farming.
 
Tuna ni salt water fish, hawezi kupandikizwa ziwani.Huyu samaki bongo yupo watu wa pwani ya Dar wanamjua kama 'nguru jodari'.Siku hizi kuwaona ni nadra sana labda zanzibar watakuwa wapo.
Nahis kuna watu wanajua soko la huyu samaki na wamelikamata kinyemere na wanapiga pesa kichizi,bongo ndo ilivo ukijua wewe unawaficha wenzako unafaidika peke ako,anyway ndo maisha tena.
Japan ndo soko kubwa la huyu samaki,wanaliwa wabichi kwenye sushi(chakula chao),pia ulaya na America wana soko sana.
Kuna aina nyingi ya tuna na bei utofautiana sana,Aina ya ghali ni 'atlantic tuna' kuna wakati tajiri wa japan alilipa dollar za kimerican $3.1 million kwa Atlantic tuna mwenye uzito wa 278kg.
Ulaya wao wanachukua Africa na Sri lanka, america wao wanao pia wameshila soka la mauritania,hii sehemu ina samaki sana kwa west africa.
Screenshot_20190630-070159_Google.jpeg
 
Tuna hawezi kuishi na kuzaliana maji baridi kama ziwani.
Unachoweza kufanya ni kuwafuga ktk mabwawa ya maji chumvi pembezoni mwa bahari au kuwafuga ktk bahari yenyewe kwa kutumia miundombinu ya cage fishing.
Reply
 
Hivi Tuna si ndio Jodari kibongo bongo. Mimi nadhani huvuliwa wakiwa wadogo bado. Kuna kipindi cha "Wicked Tuna" nilisha kutana nacho huko Discovery Channel Tuna anavuliwa mkubwa kama gunia la viazi Mbeya. Na akiwa mdogo anarudishwa baharini.

Hapa bongo hata akiwa na cm moja anachukuliwa kama kitoweo.

Wale wazee rula ya kupimia samaki walitaka kuleta heshima katika uvuvi, mkawaleta nongwa kuuu.
 
Nafikiri mtoa mada haongelei milion 70 ya kitanzania
hapana mkuu hao tuna fish wametofautiana kuna aina nyingi il ablue tuna wana bei sana na ni watamu sana huko japan alishawahi mmoja kuuzwa kwa dollar milioni 3 za kimarekani...sasa kwenye supermarkets unaweza kuapata tuna wa kwenye kopo yaani canned kwa bei ndogo tu kuna miaka fulani nikiwa Uk nilikuwa nafanya kazi kama kitchen potter my favorite food jikoni ilkuwa ni tuna fish na jacket potato kakiazi ulaya kamoja baked na tuna fish vijiko viwili iliyochanganywa na mayonaise ilikuwa paundi 8 miaka hiyotangu nirudi bongo sijawahi kula sababu siendagi 5 stars za hapa ila najua itakuwa expensive
b.JPGCapture.JPGz.JPG
b.JPG
Capture.JPG
z.JPG
 
hapana mkuu hao tuna fish wametofautiana kuna aina nyingi il ablue tuna wana bei sana na ni watamu sana huko japan alishawahi mmoja kuuzwa kwa dollar milioni 3 za kimarekani...sasa kwenye supermarkets unaweza kuapata tuna wa kwenye kopo yaani canned kwa bei ndogo tu kuna miaka fulani nikiwa Uk nilikuwa nafanya kazi kama kitchen potter my favorite food jikoni ilkuwa ni tuna fish na jacket potato kakiazi ulaya kamoja baked na tuna fish vijiko viwili iliyochanganywa na mayonaise ilikuwa paundi 8 miaka hiyotangu nirudi bongo sijawahi kula sababu siendagi 5 stars za hapa ila najua itakuwa expensive
View attachment 1142706View attachment 1142716View attachment 1142724View attachment 1142706View attachment 1142716View attachment 1142724
Tuna mkubwa kabisa anaweza kuwa na uzito kiasi gani
 
Wapo wengi bahari ya hindi, hata ukienda soko la ferry unapata kwa bei ya kawaida, cyo ya ulaya. Labda huko ulaya wazungu waligundua madini adimu ktk tuna.
wanatofautiana aina na utamu na wenzetu wanawasaga ukichanganya na mayonaise ukatengeneza sandwich ni balaa utamu wake au kiazi ulaya ukakibake bila kutoa maganda halafu ukile cha moto umekipasua katikati ukachanganya nyama iliyosagwa ya tuna fish ni balaa
 
Kwa hyo unashauri tujenge ukuta kama wa mererani?
Hata ikibidi kumwaga viroba vya chumvi ziwani, itafutwe namna, maana kuna meli za kigeni huwa zinavamia bahari yetu ya hindi bila vibali na kuvua maTuna matani kwa matani na kutoroka nao, wanatuibia matrillioni kila mwaka, sasa dawa ni kuwavua wote na kuwapanda ziwani, tuone nani atakuja kuwaiba mule ziwani
 
wanatofautiana aina na utamu na wenzetu wanawasaga ukichanganya na mayonaise ukatengeneza sandwich ni balaa utamu wake au kiazi ulaya ukakibake bila kutoa maganda halafu ukile cha moto umekipasua katikati ukachanganya nyama iliyosagwa ya tuna fish ni balaa
Kaka ulikuwa unaangaika na masufuria na ile mi mashine mikubwa mtu anaingia mzima mzima hah ha!. Ndo maisha.
We unazungumzia'albacore tuna' hawa ni wadogo na wanapatika ki rahisi sana ndo maana unawaina kwenye makopo.
Lakin wale wakubwa kama Atlantic blue fin Tuna ni habari nyingine,wale sana kwenye sushi na makorokocho yao mengine.
 
Kaka ulikuwa unaangaika na masufuria na ile mi mashine mikubwa mtu anaingia mzima mzima hah ha!. Ndo maisha.
We unazungumzia'albacore tuna' hawa ni wadogo na wanapatika ki rahisi sana ndo maana unawaina kwenye makopo.
Lakin wale wakubwa kama Atlantic blue fin Tuna ni habari nyingine,wale sana kwenye sushi na makorokocho yao mengine.
aisee acha tu kabla ya vyombo kuingia kwenye dish washing machine kila dakika chef anakuja kukagua kama maji ya ku soak kwenye sink ni ya moto sasa ole wako akute ni ya baridi...dah ila nilkuwa naipenda sababu ya free food ile life ilikuwa tight sana
 
Back
Top Bottom