Samaki wa kupaka (grilled fish with coconut sauce)

thanks love...ntajitahidi maana samaki nawapenda
 
Kitu cha samaki

Leo jioni nitamla lazima

Umenitia hamuu
 
thanks for menu sir..
 
Huku saa hizi ni saa sita kasoro tano, ubao umenishika lunchi ni hii Sandwich ya Kizungu na wewe ndo kwanza unaongelea samaki wa kuchora sijui kupaka????

Hapo! Mate debe.
 
Huku saa hizi ni saa sita kasoro tano, ubao umenishika lunchi ni hii Sandwich ya Kizungu na wewe ndo kwanza unaongelea samaki wa kuchora sijui kupaka????

Hapo! Mate debe.

Poleeee..

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
farkhina ahsante yani samaki napenda sana kwa wiki zaidi ya mara 3 lazima nile ila si wajua usela sina oven so nampika kama unavyosema ila simgril anakuwa mbichi na mtamu balaa.Watu wanashangaaga kwa nini mbichi afu hana shombo?ha ha ha mapishi mwaya.
Shem wako juzi kaniambia kanunua oven yani atanikoma mapishi na hivi apenda kula mapenzi yatazidi wallah atatangaza ndoa lol
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…