Samaki wa kupaka (grilled fish with coconut sauce)

Samaki wa kupaka (grilled fish with coconut sauce)

Hawa samaki nawaonaga tu pale nyerere Road Mwanza, ile rangi rangi dah huwa siipend kbs
 
A'fuan habibty...hujambo lakin? Ulikua wapi?

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Wen Wen !! Binti Nnas nilikwenda Umrah Makkah kupata radhi za Moula el-Karim... AMINa Samahani sijakuaga lakini nilikuombea Dua' hizo kwenye al-Kaaba shariff.. niliwa miss kweli.
Long live.
 
Ni pm wapi unapatikana nije nipate menuuuu hioooo
Umenitamanishaaaaaaa.
 
Wen Wen !! Binti Nnas nilikwenda Umrah Makkah kupata radhi za Moula el-Karim... AMINa Samahani sijakuaga lakini nilikuombea Dua' hizo kwenye al-Kaaba shariff.. niliwa miss kweli.
Long live.

Maashallah umrah yako iwe maqbool..
 
da upate na kitu wali nazi ni shidaaaa:couch2:
 
My favourite recipe from farkhina. Thank you sana.
Ila umetutelekeza
 
Last edited by a moderator:
farkhina huyo samaki nikitaka nimchome kwenye jiko la mkaa nafanyaje ili asing'ang'anie kwenye wavu?
 
38af29b5ccc501cb822936ba88133008.jpg


Karibuni wapendwa
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mahitaji

1)Samaki mkubwa...
2)nyanya 2..
3)kitunguu thomu 1 teaspoon..
4)tangawizi 1 teaspoon
5)bizari ya njano kiasi
6)bizari ya pilau 1 teaspoon...
7)ndimu 2...
8)kitunguu maji 1..
9)chumvi kiasi
10)pilipili manga 1 teaspoon
11)pilipili mbuzi 1
12)tomato sauce
13)tui la nazi 1-1.5 kikombe...

Namna ya kutaarisha samaki

1)safisha vizuri samaki wako na umeweke alama kwa kisu ili viungo viingie ndani ya samaki..muache akolee viungo for 30minutes

2)weka samaki kwenye trey na umuunge kwa pilipili manga,chumvi,ndimu 1,bizari ya pilau,kitunguu saumu na tangawizi...

3)muweke kwenye oven moto kiasi ili awive vizuri....akiwiva upande mmoja mgeuze upande wa pili...

4)ukishawiva pande zote mbili weka samaki kwenye sahani.....


Namna ya kutaarisha sauce

1)saga nyanya,pilipili mbuzi na kitunguu maji weka maji kidogo sana au unaweza tumia tui badala ya maji..

2)weka tui jikoni,mimina mchanganyiko wako uliosaga,weka na bizari...koroga na wacha vichemke vizuri

3)weka tomato paste kiasi ili sauce iwe nzito nzito...

4)weka ndimu....acha ichemke kwa dakika 5 then epua

5)mimina sauce yako juu ya samaki ulimtaarisha kabla



Samaki wa kupaka (grilled chicken with coconut sauce) tayari kwa kuliwa...
Asante kwa pishi ,nakukubali kwenye mambo haya,big up
 
farkhina naomba sana uanzishe YOU-TUBE chanel kama yule dada wa Aroma of Zanzibar?
Naamini wadau wa humu tutakusaidia kuitangaza na unaweza ukaenda hata kimataifa.
Tunataka tuone hatua kwa hatua ndiyo inaongeza ujuzi asee
 
Back
Top Bottom