Samaki wa Magufuli


..alikuwa mzalendo uchwara.

..amedhulumu na kutesa wengi waliokuwa wakimkosoa.
 
Mi naomba kufahamishwa sababu ya meli kuzama ikiwa imeegeshwa
Moja ya sababu ni kutoboka na kuanza kuingiza maji ndani endapo kutakua hamna service na ukaguzi mara kwa mara.
 
Hii nchi ina maruki wengi mliokalia kuipinga nchi yenu hata mtu afanye kitu kizur kwa ajili ya nchi!!

Mko upande wa wakoloni siku zote!! Ndyo kilichotokea enzi za nyuma nchi ikaingiliwa na wakoloni
Sasa mtu anaiba hadi rambirambi kwa nini tusiipinge nchi yetu.

Ila tunafarijika kaondoka na harudi tenaaaaaaaaaa
 
Kwanini aliyeikamata asipewe kesi ya uhujumu uchumi hata kama hayupo ahukumiwe alizidi kukurupuka naubabe uchwara
Ukamate mali yako mikononi mwa wezi halafu uwe mhujumu uchumi tena? Kumbuka hata sababu ya serikali kushindwa kesi ni kuwa hati ya mashtaka ilikosewa. Na hiyo hati iliandikwa na aliyekamata mali mkononi mwa wezi? Hii ni Tanzania bhaana.
 
Alikuwa kiboko ya mabeberu na vibaraka wake kama nyie.

..alikuwa na kidumbwasha cha kusaidia mapigo ya moyo kilichotengenezwa na mabeberu.

..alikuwa analindwa na askari wanaotumia silaha zilizoagizwa toka nchi za mabeberu.

..alikuwa anatumia usafiri wa magari yaliyotengenezwa na makampuni ya mabeberu.

..alinunua madege yenye thamani ya matrilioni ya fedha toka kwa makampuni ya mabeberu.

..Je, huyo siyo kibaraka wa mabeberu?
 
Mwendazake alitukosea sana
 
Kalipeni fidia sasa
 
Naona Mawakili wetu Wasomi wameshanusa harufu ya mnuso wa fidia! Siyo kwa kupambana huko dhidi ya nchi yao, huku msababishi wa hayo madudu yote akiwa ameshaimaliza tayari safari yake hapa duniani.
Si ndio wale mawakili uchwala wa ccm wanapelekaga ushahidi dhaifu ili wapate 20%
 
Meli ya samak yy,nyumba yy kweli bongo baht mbaya
 
..alikuwa mzalendo uchwara.

..amedhulumu na kutesa wengi waliokuwa wakimkosoa.
Sini vihereher vyao lakini, tatizo mnapenda kufatilia fatilia watu sana nyie!!! Wengine hawafigilii shobo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…