pandagichiza
JF-Expert Member
- Jul 9, 2013
- 5,248
- 3,663
Serikali hii hii ndiyo iliyokamata hii meli mwaka 2014Ile ilikua ni serikali ya kushika tu
Yaani inashika watu pamoja na vitu
Huu ni uzembe wa hawa wakurupukaji
Walipe fidia tu kwani hamna namna!