Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilijaribu ila kidogo.Jina lako tu linaonesha kabisa umeshawala hao samaki vya kutosha.
Uliwalia na ugali au ubwabwaNilijaribu ila kidogo.
Hivi nilikuta mapande kama hivyo nikabugia moja.Uliwalia na ugali au ubwabwa
Daah 😂😂 mpaka umeenda kugoogle Mzee ndio unatuletea jina lake sahiz.Mkunga sio Cobra 😃
KuuumbeHivi nilikuta mapande kama hivyo nikabugia moja.
Ha ha ha Kula kichwa hapo.Kuuumbe
Unamlaa ye mbona anakula wengine.Anatafunwa tuMmenifanya nikagoogle aisee we kula Cobra we kuweza 😃
Toobaa kumbe ulibugia kichwa wee dada Usiku mwema 🏃🏃🏃Ha ha ha Kula kichwa hapo.
Bahati MBAYA mi sio dada.Toobaa kumbe ulibugia kichwa wee dada Usiku mwema 🏃🏃🏃
We kula tu, kikubwa hufiNimekula huyo wa juu mkono wa Kushoto mkuu 😃
Mi nakulaga samaki high classic sili hao samaki wanao fanana na sangaramafuta.Unamlaa ye mbona anakula wengine.Anatafunwa tu
Ungeanza na kugoogle kwanza🥴Mmenifanya nikagoogle aisee we kula Cobra we kuweza 😃
Nimelushauri ule kichwa maana kichwani ndo patamuToobaa kumbe ulibugia kichwa wee dada Usiku mwema 🏃🏃🏃
Ndo maana nilikulaHizi ndizo samaki za kuliwa na wanaume sasa