Wanaume wa Dar tena
inajipendekeza kwasababu wewe hauna wa kukufuata.labda wewe ndio uwafuate.
lady is overrated...sioni uzuri wake...chunga sana wale wanaopata ustaa kwa skendo wapo tayari kufanya chochote ili wawe wanajadiliwa....Imebainika kuwa yule msakata kambumbu katika club ya Genk uko ubeligiji Mbwana Ally Samata alimuomba fumu muuza nyago na mjasirimali Gigy Money.
Gigy money amedai kuwa Samata alimtumia e.mail aende ubelgiji ili waspend pamoja na kula bata mpaka bata aseme bata ila gigy money alikataa na kudai et "Samata is not my cup of coffe" yaan samata sio type yake.
Ivyo kaka Samata akachezea za mbavu uku king kiba akiendelea kuchekecha kadri awezavyo mpaka kukinai
Wanaume wa Darisalama mna matatizo sanaImebainika kuwa yule msakata kambumbu katika club ya Genk uko ubeligiji Mbwana Ally Samata alimuomba fumu muuza nyago na mjasirimali Gigy Money.
Gigy money amedai kuwa Samata alimtumia e.mail aende ubelgiji ili waspend pamoja na kula bata mpaka bata aseme bata ila gigy money alikataa na kudai et "Samata is not my cup of coffe" yaan samata sio type yake.
Ivyo kaka Samata akachezea za mbavu uku king kiba akiendelea kuchekecha kadri awezavyo mpaka kukinai
factNaunga mkono hoja.
inajipendekeza kwasababu wewe hauna wa kukufuata.labda wewe ndio uwafuate.
swissme